kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Unaongelea hicho kikundi cha kwaya ama? Maana hawana jipya zaidi ya kubana pua tu.Wanakunyima usingizi mkuu? Kitendo cha kuja kuanzisha thread inaonyesha ni jinsi gani hao vijana wachanga kwenye game ya mziki wameshaanza kuwapeleka mpute mpute
Write your reply... Diamond msanii mzuri lakin tatizo lake anaimbia ngono, haimbi tena nyimbo za mapenzi anaimba ngono wazi wazi.
5
Ungejua jamaa wa petit afro ni mswahili ka wewe usingeandika ulichoandikaDiamond ni habari nyingine...
Hats nchi za kigeni pamoja na kutoelewa baadhi ya maneno anayoimba wanazipenda mno nyimbo zake..
Juzi I was shocked naingia YouTube nkakumbuka gang moja hivi la teenagers la kudance wanaitwa Petit Afro Gang..nicheki wamecheza wimbo gani mpya nakuta tetema...loh!
Nini maana ya mswahili?Ungejua jamaa wa petit afro ni mswahili ka wewe usingeandika ulichoandika
Ungejua jamaa wa petit afro ni mswahili ka wewe usingeandika ulichoandika
hicho hicho kilichokutoa mkuku mkuku hadi ukaanzisha thread hapaUnaongelea hicho kikundi cha kwaya ama? Maana hawana jipya zaidi ya kubana pua tu.
Tabia yao ya kutaka kuzima wimbo wa mwenzao ndo nachokieongelea hapa mbn unakuwa boya hivo unashindwa kuelewa kitu kidogo tu kama icho.hicho hicho kilichokutoa mkuku mkuku hadi ukaanzisha thread hapa
wewe umepanic sasa hao wanazimaje wimbo wa mwenzao, kila mtu anatoa wimbo kwa ratiba zake.Tabia yao ya kutaka kuzima wimbo wa mwenzao ndo nachokieongelea hapa mbn unakuwa boya hivo unashindwa kuelewa kitu kidogo tu kama icho.
Chezea ww.Ukweli unajulikana......kuna passo inashindana na VX.......teh teh
Rhumba imejifia kama imetoka mwaka juzi. Jipangane na kubana pua kwenu.wewe umepanic sasa hao wanazimaje wimbo wa mwenza, kila mtu anatoa wimbo kwa ratiba zake.
Hii ni dalili ya woga, vijana bado wachanga hao kwenye sanaa sijui hiyo nyimbo ya jamaa yako. Bora ungekaa tu kimya kuficha ujinga wako
bongo hayuwezi kusifia hadi tuponde upande wa piliBaada ya kuona wimbo wa inama wa bwana Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platnumz ukiendelea kusumbua mtaani na kwenye mitandao ya kijamii, kiba akaona isiwe kesi ngoja niuzime huu wimbo kwa kuachia kazi mpya. King kiba akaa chini aka organize na team yake wakashauriana na kufikia mwafaka kuwa Rhumba ndo wimbo pekee ambao utaweza kufifsha kasi ya wimbo wa inama wa Diamond. Pamoja na figisu zote hizo lakini naona lengo lao halijafanaikiwa maana Rhumba ni imejifia kabisa kama imetoka miaka mitatu iliyopita huku inama ikzid kusumbua tu. King kiba tunakushauri uache tu kuimba na hicho kikundi chako cha kwaya, Diamond humuwezi.