Riba ya mwezi1- 3 kwa sh20 millns-FINCA

Riba ya mwezi1- 3 kwa sh20 millns-FINCA

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Ninataka mkopo wa haraka wa million 20 kwa kipindi cha mwezi mmoja mpaka 3.Ninataka kukopa FINCA ila sina Dhamana. Je riba kwa mwezi mmoja,miwili au mitatu kwa pesa hiyo itakuwa sh ngapi? Naomba anayejua aniambie. Naomba sana ushauri wenu.

Asante
 
waulize finca ili upate jibu sahihi,ingia kwenye website yao au temble tawi lililoko karibu
 
Kwanza huna dhamana halafu unataka kukopa, unafikiri benk hizo pesa wanaokota chini ya mwembe.

Ninajua umuhimu wa dhamana lakini kabla sijaingia kichwakichwa nilitaka mzoefu aliyewahi kukopa ili aniambie.Riba nikiasi gani na ni9 vitu gani vinatakiwa. Issue ya dhamana ikifika ninajua chakufanya
 
Ni taasisi gani hiyo ya fedha ikupe tu million 20 huku hujawahi kukopa wala huna dhamana wala ujataja biashara yako ya aina gani kuwa makini kidogo au unataka kujua riba ya million 20 finca
 
Ni taasisi gani hiyo ya fedha ikupe tu million 20 huku hujawahi kukopa wala huna dhamana wala ujataja biashara yako ya aina gani kuwa makini kidogo au unataka kujua riba ya million 20 finca

Sasa unataka niseme hapa business plan yangu. Mie shida yangu nikujua riba na nilifikila FINCA kwa sabab unadela na watu wadogo kwa short term loans. Ambaye anauzoefu aniambie. Issue ya dhamana inajulikana hata kwa rafiki huwezi kuowea pesa bila makubaliano.
 
Sasa unataka niseme hapa business plan yangu. Mie shida yangu nikujua riba na nilifikila FINCA kwa sabab unadela na watu wadogo kwa short term loans. Ambaye anauzoefu aniambie. Issue ya dhamana inajulikana hata kwa rafiki huwezi kuowea pesa bila makubaliano.
Nenda finca sasa upate jibu kamili
 
Ninataka mkopo wa haraka wa million 20 kwa kipindi cha mwezi mmoja mpaka 3.Ninataka kukopa FINCA ila sina Dhamana. Je riba kwa mwezi mmoja,miwili au mitatu kwa pesa hiyo itakuwa sh ngapi? Naomba anayejua aniambie. Naomba sana ushauri wenu.

Asante
hakuna mkopo wa miezi mitatu mkuu...mkopo unaanzia mwaka mmoja na kuendelea,...hiyo mikopo ya miezi sita ni kwa vikundi tena unaanzia kukopa laki 3....anyway riba yao ni 5% per month
 
hakuna mkopo wa miezi mitatu mkuu...mkopo unaanzia mwaka mmoja na kuendelea,...hiyo mikopo ya miezi sita ni kwa vikundi tena unaanzia kukopa laki 3....anyway riba yao ni 5% per month

Sawa asante
 
Huko sio pakukopa mkuu riba ni more than 50 per anum.
Yani ni bora ukakope bank
 
Back
Top Bottom