Riba za Tigo Nivushe ni kubwa sana

Akiwa na mpango huo wa kujiwekea akiba lakini ikafika siku kabanwa sana na shida unashauri afanyeje?
 
[emoji16][emoji16][emoji16]ongeza JUHUDI..
Mimi hyo laki 4 nimeshindwa kulipa.ila nikilipa wananiongeza
Dah,kumbe wanatoa Hadi laki 4,sahivi napewa elfu 30, ikifika laki nne natafuna SIM card na hi simu Nampa mtoto awe anachezea game
 
Voda nadaiwa kama laki 4,airtel nadaiwa timiza kama laki na 80,sijui nichukue na hii tigo?nb sijawahi kulipa deni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…