Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
- Thread starter
-
- #21
Ricardo Momo ametangaza kuachana na wasafi . Kisa awaoni thamani yake . Issue tulimpiga spana humu . Mwezi unakata kwenye kipindi hayupo . Kipindi chake hata kwa simu anafanya but afanyi hivyo . yupo very inconsistent . Kama Ataki vile . Anapoteza advertising revenues za ofisi . Watu wanataka kuweka hela kwake . And he not available.Mnaojua Kiingereza vyema akina Leejay49, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume tutafsirieni basi Sisi tusiojua tuelewe Ok?
Football rumors are for straight men . Wanawake Kama nyie bakini kwa Kimambi .Mpenda umbea na udaku anampigia promo mbea mwenzake
Kama unamjua hadi Kimambi basi ni mteja wake wa kudumu. Sio kila mpenda mpira ni mpenda umbea. Sisi wengine mpira tunapenda kuwasikiliza manguli wanaojua kuelezea technical & tactics za mechi husika. Hivi aliyekudanga kuwa Gamondi atatangazwa na Kaizer chief Jumatano ndio huyo mbea wako Momo au unawambea wengi?Football rumors are for straight men . Wanawake Kama nyie bakini kwa Kimambi .
Mimi bado mchanga kwenye hiyo lugha Nina safari ndefu kukufikia wewe Master wordsmith, ngoja nimtag STD 7 anajidai kujua kimalkia kama kazaliwa nacho.Mnaojua Kiingereza vyema akina Leejay49, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume tutafsirieni basi Sisi tusiojua tuelewe Ok?
πππππHuna D mbili?
Ndugu umetisha na matumizi ya too........to umenikumbusha mbali sana!!!I am too old to understand the English language...why don't you present your feelings in Kiswahili?
Unataka kila mtu ajadili hoja ya lissu kila siku!!Tanzania ina wajinga wengi sana.
why but is leaving job of radio talking sports of football!!!Yah it is Ricardo Momo why but?
Ok ok now fine you knowwhy but is leaving job of radio talking sports of football!!!