Ricardo Momo apimwe Akili kwa kuachana na Malkia Cute

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Salalee,

Malikia cute ni habari ya Dunia, ukishangaa ya Musa basi subiri uyaone ya Filauni, yaani Malkia cute anafaa kwa pigo zote daima mbele nyuma mwiko na, habari ya mjini usikose nyama, na mayai hutokea nyuma kwa kuku.

Tuseme ukweli Malkia cute ni ameleta taharuki sana kwa ufungasho huo.

Ricardo Momo ni jasiri mwenye asili acha inyeshe mabwawa yajae maji tupate umeme wa kutosha.

Tuendelee kutafakari kuhusu Malkia Cute na nyashi ya Dunia.

"Nyashi Daima Uzembe Mwiko"

Wadiz
 
Tuache kuparamia,
Kuna wanawake wa kuoa na wanawake wa ku spend nao, Malkia ni Mwanamke ku spend nae sio kuoa.

Ni ngumu kuelewa kama akili yako inawaza maumbile.
 
Alikimbia fangasi
 
Dah ila ww jamaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 

HAPA UNATAMANI WEWE NDO UNGEKUWA HUYO MWANAMKE RICARDO AKUOE
 
Hata kapicha hakuna?
Tuone huo msambwanda
 
Kapicha plz!
 
Nimeshangaa kabisa, kuna mmoja nimemuuliza hapa anasema eti Wazee macho yetu hayaoni....nimemwambia hapa nilipo nipo jirani na miwani yangu

Yaani akiweka tu hiyo picha, faster navaa miwani ili kuona hayo yaliyomo 😜
Na si ni kuona tu Wala hakuna kingine tunataka!!
Maana nyashi aishindwe momo mi taiweza vipi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…