Ricardo Momo apimwe Akili kwa kuachana na Malkia Cute

Ricardo Momo apimwe Akili kwa kuachana na Malkia Cute

Salalee,

Malikia cute ni habari ya Dunia, ukishangaa ya Musa basi subiri uyaone ya Filauni, yaani Malkia cute anafaa kwa pigo zote daima mbele nyuma mwiko na, habari ya mjini usikose nyama, na mayai hutokea nyuma kwa kuku.

Tuseme ukweli Malkia cute ni ameleta taharuki sana kwa ufungasho huo.

Ricardo Momo ni jasiri mwenye asili acha inyeshe mabwawa yajae maji tupate umeme wa kutosha.

Tuendelee kutafakari kuhusu Malkia Cute na nyashi ya Dunia.

"Nyashi Daima Uzembe Mwiko"

Wadiz
Mmhh sasa na vile viguu kama mke wa mwinjaku hata hapendezi its too fake
 
Amefanya surgery ya mdomo kawa kama bata, she is totally fake!
 
Unauhakika wameachana na kunyanduanaaa🤣🤣Ila Demu mkalii aaseee Mimi nilijisikia Raha kuona tu clip yake takoooooo🙌suraaaaa🔥🔥
 
Salalee,

Malikia cute ni habari ya Dunia, ukishangaa ya Musa basi subiri uyaone ya Filauni, yaani Malkia cute anafaa kwa pigo zote daima mbele nyuma mwiko na, habari ya mjini usikose nyama, na mayai hutokea nyuma kwa kuku.

Tuseme ukweli Malkia cute ni ameleta taharuki sana kwa ufungasho huo.

Ricardo Momo ni jasiri mwenye asili acha inyeshe mabwawa yajae maji tupate umeme wa kutosha.

Tuendelee kutafakari kuhusu Malkia Cute na nyashi ya Dunia.

"Nyashi Daima Uzembe Mwiko"

Wadiz
Weka Richards tuone maana wengine tupo mtwara vijiji na hatumjui huyo.
 
Hahaha asante kanipost leo boyfriends day 🥂
Kumbe ni leo 🤔 ahahaa ata sikua najua, mimi sijapost mtu zaidi ya ujinga ujinga wa siku zote 😂😂

Penzi jipya tamu nawaonea gere...
 
Kumbe ni leo 🤔 ahahaa ata sikua najua mimi sijapost mtu zaidi ya ujinga ujinga wa siku zote 😂😂

Penzi jipya tamu nawaonea gere...
Hahaha post mtu chap siku haijaisha. Au ata inbox SMS
 
Salalee,

Malikia cute ni habari ya Dunia, ukishangaa ya Musa basi subiri uyaone ya Filauni, yaani Malkia cute anafaa kwa pigo zote daima mbele nyuma mwiko na, habari ya mjini usikose nyama, na mayai hutokea nyuma kwa kuku.

Tuseme ukweli Malkia cute ni ameleta taharuki sana kwa ufungasho huo.

Ricardo Momo ni jasiri mwenye asili acha inyeshe mabwawa yajae maji tupate umeme wa kutosha.

Tuendelee kutafakari kuhusu Malkia Cute na nyashi ya Dunia.

"Nyashi Daima Uzembe Mwiko"

Wadiz
Maiiiini, MTU wa mana kabisa.
 
1727961654586.png

Benderea Grahams demu mwenyewe ndio huyu
 
Back
Top Bottom