Ricardo Momo apimwe Akili kwa kuachana na Malkia Cute

Bila picha haieleweki
 
Wanawake wanye makalio makubwa hawana akili, wanafaa kwa starehe tu siyo kuoa
Si kweli, hii ni nadharia inayotumika kuwa-underrate tu ke wenye big nyash.

Wanawake wenye big nyash wapo smart sana mkuu.

Kwanza ke waliopigwa pasi kibaiolojia ni walemavu ambao kama homoni zingebalance wasingekua hivo.
 
Malkia Cute ni balaa hio habari ya Dunia, hata kwa daww siwezi kuacha nyashi kama ile hasa yeye anakauli mbili ya nyashi daima uzembe mwiko
Kauli ya mtu usiyekuwa na hela hizi 🤣🤣🤣
 
Hivi hamuwezi kusifia kimoja bila kukashfu cha pili?? Wangapi wana hizo flat na kichwani kweupe?? Nadhani ninyi wenye haya mawazo pia mji evaluate. Mtu hawi na akili kwa kuwa na hayo makalio au kuwa flat. Wazazi wenye watoto wa kike waleeni vizuri ili wawe na confidence na wajitambue. Simuongelei malaika cute 🤣
 
kwani ndo nani hyo malkia cute ?? bila picha uzi hauna maana
 
Sijaona u cute wowote zaidi ya minyama isiyo na mpangilio na make up pipa😂
 
Wanawake wenye makalio wazuri kuwatazama tu ,ukiwala hao Huwa wanakojoa kama bata Kila dakika hamna kitu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…