Ricardo Momo, kati ya “story” zako mbili ipi ya ukweli?

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Ricardo Momo ukiachana na kukanusha tuhuma za mkewe kutembea na Msizwa huku hata demeanor ya mkewe ikionesha tuhuma za Esma zina ukweli, hili la kuwa ndugu wa Diamond ni funiko bovu.

Sijui kwanini huyu Ricardo ni muongo na anapenda kujisifia. Leo anasema Diamond Platnumz ni ndugu yake wakati mwaka mmoja uliopita alieleza jinsi alivyokutana na Diamond Kariakoo na kueleza story tofauti kabisa na ya leo.

Sijajua kwanini wanadanganya ni kiki? Au kuzima madongo ya Harmonize? Au kuzima interview ya Esma? Au tunawasha na Tigo Dar?

Msikilize hapa Ricardo Momo akiongea alivyokutana na diamond platnumz kariakoo mwaka mmoja uliopita

 
Jinsi unavyopoteza muda kujaribu kuelewa ndivyo hutoelewa, we wasikilize burudika hata usitafakari wanachokisema maana huwezi kuelewa hata kidogo. Ni mwendo wa kukubaliana nao tu. Hata wakisema Diamond siyo mtoto wa Bi Sandra bali ni mtoto wa Zari we kubali tu hata husijisumbue kutafakari.
 
Mwishoni kabisa tunaweza kuambiwa Diamond ni mtoto kabisa wa Ancle Shamte. Ndo tutajua hatujui
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji109]
 
Hao ni ndugu kabisa
 
hata kama wanadhani ni kiki ila ni ujinga uliopitiliza disyfunctional family to the highest level,hizo kiki ziwe na mipaka kwanza kama yaliyoongelewa na esma juzi ilitakiwa sasa hivi yeye na ex husband wawe wanahojiwa kuhusu hizo tv za wizi zinazouzwa dukani na mizigo ya unga ya huko pakistan
 
Mbona kama Mzee baba Abdul amesema huyo "marehemu mtarajiwa kama mimi" akimaanisha mama Dimond alikua ana maana gani au ndo ile kila mtu ni marehemu ajaye?au kuna ka kitu hapo anakajua mzee baba
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sahihi mkuu.
 
Mpaka sasa kuna threads zaidi ya 10 zikizungumzia hili swala, naamini hata Insta na YouTube itakuwa ni trending topic.

Kwa namna moja naona kama wamefanikiwa kuwa vichwani mwa watu tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…