Mario Kempes
Member
- Jun 29, 2021
- 63
- 122
Mchekeshaji wa kipindi cha michezo cha Sports Arena kupitia Wasafi Fm Ricardo Momo anasema kutokana na elimu ya nyota aliyonayo ameona jinsi ambavyo Simba kesho anaenda kuibuka na ushindi dhidi ya Yanga!
Muda wa mechi pia unaibeba Simba kuliko Yanga katika masuala ya nyota! Aliongeza Ricardo Momo a.k.a Mzee wa za ndaaani kabisa
Una maoni gani?
Muda wa mechi pia unaibeba Simba kuliko Yanga katika masuala ya nyota! Aliongeza Ricardo Momo a.k.a Mzee wa za ndaaani kabisa
Una maoni gani?