AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Sasa kaka mkubwa kwani shemeji yetu ye hataki kupikia hili?Hili dude nilikuwa naweza kupikia kila kitu kasoro UGALI TU. KWA SABABU UGALI unahusisha kusonga. Wakati niko single...
Lipo sokoni kwa sasa sina matumizi nalo... NIMEOA. VERY STRONG.
BEI KITONGA CHA 30,000/- Nipo Tegeta Wazo Hill...mawasiliano njoo PM nikuletee...
View attachment 2523775View attachment 2523776View attachment 2523777
Mwenyewe atumia mkaa sana na gesi...sasa muda mwingi hakitumiki...nikaona hili halina matumizi sana kwa sasa...Sasa kaka mkubwa kwani shemeji yetu ye hataki kupikia hili?
Wengine hawana umeme kwao... Kwahiyo nigawe bure barabarani..?Umeoa ndo huna matumizi nalo? Hua sipendi mtu anayeuza uza vitu vidogo kama hivi bila sababu maalum
Weka utampa hata ndugu alitumie
Kila la kheri mkuuMwenyewe atumia mkaa sana na gesi...sasa muda mwingi hakitumiki...nikaona hili halina matumizi sana kwa sasa...
Unapikia kila kitu kasoro ugali tu...Unaweza kupikia nini na nini?
Kama ni kila kitu si ubaki nalo mwenyewe mkeo atumieUnapikia kila kitu kasoro ugali tu...
Sio makande tu...nilikuwa napika mihogo, viazi na kila kitu kinachochemshwa....hata nyama...kasoro UGALI TU KWA SABABU UNAHUSU KUSONGA...Makande linapika?
Chips yai nayo unaweza kupikia?Unapikia kila kitu kasoro ugali tu...
Hilo lenyewe kaka lingekua jekundu ningechukua😁Sio makande tu...nilikuwa napika mihogo, viazi na kila kitu kinachochemshwa....hata nyama...kasoro UGALI TU KWA SABABU UNAHUSU KUSONGA...
Naam...mimina mafuta tu kwanza...Chips yai nayo unaweza kupikia?
NINATAKA HELA NDIO MAANA NINAUZA...Kama ni kila kitu si ubaki nalo mwenyewe mkeo atumie
Kimfaacho mtu chake 😁😁Umeoa ndo huna matumizi nalo? Huwa sipendi mtu anayeuza uza vitu vidogo kama hivi bila sababu maalum
Weka utampa hata ndugu alitumie
Mkuu next time usikwangue kwa kijiko hivyo visufuria vyenye black coated ndani.Hili dude nilikuwa naweza kupikia kila kitu kasoro UGALI TU. KWA SABABU UGALI unahusisha kusonga. Wakati niko single.....
Wazee wa KuzoomMkuu next time usikwangue kwa kijiko hivyo visufuria vyenye black coated ndani.