NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kwanini mnapenda kushauri kila kitu, Mtu hata kama kaishiwa unataka aseme hapa.Tumieni hekima mkikosa tumieni busara la basi akili.Vinginevyo nyamazeni kimya.Umeoa ndo huna matumizi nalo? Huwa sipendi mtu anayeuza uza vitu vidogo kama hivi bila sababu maalum
Weka utampa hata ndugu alitumie