SOLD: Rice cooker 1.8L ipo sokoni Tsh 30,000/-

SOLD: Rice cooker 1.8L ipo sokoni Tsh 30,000/-

Umeoa ndo huna matumizi nalo? Huwa sipendi mtu anayeuza uza vitu vidogo kama hivi bila sababu maalum

Weka utampa hata ndugu alitumie
Kwanini mnapenda kushauri kila kitu, Mtu hata kama kaishiwa unataka aseme hapa.Tumieni hekima mkikosa tumieni busara la basi akili.Vinginevyo nyamazeni kimya.
 
Kwanini mnapenda kushauri kila kitu, Mtu hata kama kaishiwa unataka aseme hapa.Tumieni hekima mkikosa tumieni busara la basi akili.Vinginevyo nyamazeni kimya.
Usitupangie sasa! Akiishiwa aseme kwani kuishiwa ni ulemavu?
 
Back
Top Bottom