Rich gang: Mume wa Zari yuko tayari kumfadhili Ali Kiba

watu bwana kwani kiba kuombewa kura na wema au ivan kuna ubaya?
 
Mbna hamumsemi joket mmemwona wema pekee.... this country bwanaaa.....
 
Hawajielewi waganda hawana pakuchezea wameona TZ ndio nchi pekee itawashobokea...
 

Post kama hizi nilikuaga naziona enzi za jambo forum then jamii forum ya miaka ileee
Huu ndio uhalisia wenyewe mkuu
 

Hahahaaa umeuaaaaaa! Wote umewa categorize ipasavyo, umewasahau wale waliokuwa wanashinda nae tandale enzi zile.
 
Kaaa.. Mi Si mshabiki wa any team.. Labda nifah hahaa

But.. Nadhani jamaa.. Ni wivu tu kwa x wake, so this is a kind of revenge.
 
Last edited by a moderator:
Kaaa.. Mi Si mshabiki wa any team.. Labda nifah hahaa

But.. Nadhani jamaa.. Ni wivu tu kwa x wake, so this is a kind of revenge.

Hahahahaa, mimi kwenye hii thread nimepita kimya kimya tu sijachangia chochote nilienda kuchangia instaaa...

Uwe wivu kwa mkewe uwe nini watajijua wenyewe, vita vya panzi furaha yetu kunguru!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…