Rich Mavoko ammwaga mzazi mwenzie

Chanzo unakijua au unalaumu tu, kama ni mtoto kwani kasema hamlei.. BTW kutoka mbali na mtu sio tiketi ya kutokuachana
Halafu kuna watu wanapenda kulaumu mabo ya mahusiano ya watu wengine. Aisee wanaojua ugumu na urahisi wa uhusiano huo ni mavoko na huyo mzazi mwenzie. Huku tutapiga porojo tu. Usikute hata baadhi yetu hata kutongoza hatuwezi kama mwenyekiti wa buguruni ngangari ila tunajua kulaumu walioachana.
 
Richard mdogo wangu tafuta jimama moja uuze nalo nyago nenda pale kiwanda cha filamu wapo wengi ndio maisha yalivyo inabidi ucheze mdundo uliopo ukichelewa utapotea kwenye game.
 
Kuna rafiki yangu mmoja aliwahi nambia "jamii inamwamini sana mwanamke, unaweza ishi nae miaka nenda rudi kinyumba lakini siku mkigombana anaweza kusema kwa watu BWANA MWENYEWE HADINDI na watu wakaaamini kabisa"
Tusikimbilie kuhukumu bila kujua chanzo cha tatizo.
 
Mpaka sasa sijaona habari kamili inayoelezea chanzo cha kuachana kwao.....zaidi ya vilio vya mabinti dhidi ya huyo bwana mdogo......utadhani labda wao ni malaika......

Sijui ni kwanini wanawake wanapenda kujiweka kwenye upande wa kuonewa kila kwenye scene ya mapenzi......!!???

Yaani wanapenda kuonekana innocents hata kama wana makosa.....wanapenda kuonekana wanaonewa hata kwenye mambo ya kipuuzi wanayoyafanya.....!!

Ukweli wote anaufahamu huyo bwana mdogo na huyo mpenzi wake......mambo ya ndani ni mambo ya siri ya watu.......

Kuna jamaa alikwa anampiga mkewe kila siku na mkewe alikuwa wala haendi popote....na pia jamaa akawa mlevi wa kupindukia huku mkewe akiwa hasemi chochote.....tulipokuja kufahamu sababu ya jamaa kuwa vile....hapo hapo tukampa cheo cha ujemedari wa uvumilivu.......

Kuta nne za chumbani zina siri nyingi......watu wanaachana baada ya kuvumiliana kwa muda mrefu....na sio kwa kukurupuka......

 
Ahahaha,dah
 
Tujifunze kuolewa na kuzaa kwa kuwa umependa na kupendwa sio kuzaa ili uolewe tunatesa watoto kwa maumivu yetu jamani, watoto wanamsikia baba kwa simu tu sio fresh.
 
Hahaha! wanawake bhana
cc Miss Natafuta
 
Mnasubiria habari ikamilike,huyo mleta mada mmeona avatar yake .......Role model wake ni Mange kimambi.
 
Pata pesa tabia yako ijulikane..mjini kuzuri ila kuna vizuri vingi
 
angelita pengine kuna sababu za wao kuachana....bila shaka kila mmoja wao ana hadithi ya kusema.
 
Fay avumilie tu kwani yeye hawajui WBC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…