digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,572
- 2,286
Siku anajitoa WASAFI nilisema hilo ni kosa la maisha kwake lakini mshabiki wake wakatetea uamzi wake mbovu.Habari wanajamvi.....?
Nimepita kwenye page ya Instagram ya bwana mdogo rich mavoko nimekutana na ujumbe husiokua wa kawaida.......
Sijui nini kimemsibu huyu bwana mdogo, japo toka kajitoa WCB namuona kama hayupo sawa kabisa. Mliopo karibu jaribu kuwa karibu na huyu msanii inaonekana anasumbuliwa sana na msongo wa mawazo
View attachment 1046270
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nini?hiyo siyo habari
Upo katika muktadha wa ki roho au ki Mwili?DIAMOND MWACHIE MTOTO WA WATU KWA NINI UNAMTESA?UMECHUKUA NYOTA ZA WASANII WENGI BONGO NA KAMA SIO KUZIZIKA KABISA.
MAVOKO ALIKUJA VIZURI NYOTA YAKE UNAITUMIA ACHIA MBALI DARASA.