digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,572
- 2,286
Habari wanajamvi.....?
Nimepita kwenye page ya Instagram ya bwana mdogo rich mavoko nimekutana na ujumbe husiokua wa kawaida.......
Sijui nini kimemsibu huyu bwana mdogo, japo toka kajitoa WCB namuona kama hayupo sawa kabisa. Mliopo karibu jaribu kuwa karibu na huyu msanii inaonekana anasumbuliwa sana na msongo wa mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepita kwenye page ya Instagram ya bwana mdogo rich mavoko nimekutana na ujumbe husiokua wa kawaida.......
Sijui nini kimemsibu huyu bwana mdogo, japo toka kajitoa WCB namuona kama hayupo sawa kabisa. Mliopo karibu jaribu kuwa karibu na huyu msanii inaonekana anasumbuliwa sana na msongo wa mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app