Rich Mavoko upo??Naamini unajutia ulichofanya!!

Wivu utakuua mwanamke!!!
 
Watanzania kwa kuwapangia maisha wenzetu tuko vizuri, mwacheni richard HAPANGIWI......hakuna fala anaejichimbia kaburi mwenyewe...
 
Wengi humu wageni....tuendelee kuchangia mada lakini....

Ila tuweke makundi pembeni na wengi mnaangalia maslahi zaidi

Me siongelei upande wa maslahi na wala sijagusia hapo upande wa maslahi.....wabongo tuwe na vichwa vyepesi na uelewa tafadhali

Nimeongelea upande wa nyimbo na melody alizokuwa anaimba

I mean mtu unasikiliza nyimbo unasema huu wimbo na tumewahi ku discuss mara kibao humu kwamba endapo mavoko akiendelea hivyo atakuwa tishio sanaa kwa wengine....
 
Tujaribu kutumia ustaarabu kama mtu ana challenge kitu weka na evidence ila matusi tuweke pembeni
 
Ukisikiliza kokoro na show me utagundua Mavoko amepoteza uwezo wake wa kuandika kabisa inawezekana ana malengo na soko la nje pia ila ni kweli Mavoko hana tena mashairi murua hata uimbaji pia.
 
Ukisikiliza kokoro na show me utagundua Mavoko amepoteza uwezo wake wa kuandika kabisa inawezekana ana malengo na soko la nje pia ila ni kweli Mavoko hana tena mashairi murua hata uimbaji pia.

Mkuu nadhani una uelewa mzuri sanaaa na hii mada umeielewa vizuri....naona wengine wanaongelea maslahi ya mtu binafsi mpaka kujiunga WCB sijui anapata hela nyingi hapa tunaongelea mziki wakeee anavyoimba na nyimbo alizotoa

Hongera kiongizi
 
N.B wakuu hii mada siongelei maslahi ya mtu binafsi wala sijaongelea nini amepata au nini amefata WCB hii mada naongelea mziki wake yeye kama yeye kwa jinsi alivyokuwa anaimba so naombeni kama mnataka ku discuss WCB anapata kiasi gani hiyo ni mada nyingine inabidi ifunguliwe tuongee hayo....tuwe wepesi kuelewa mtu akiandika na sio kukurupuka tu....
 
Papizo, Rich ni mzuri sana useme alikosa menejimenti ya kumfowadi. Soko limezidi kuwa gumu. Linataka uwezo/kipaji, brand, lebo nzuri na nguvu ya pesa.

Kiba pia alishaanza kupotea ila naona kuna nguvu ya ziada ilimtoa pangoni sasa kila kona KING anaongelewa naye anasaini wanamziki.

Mavoko amefanya busara kuhamia hiyo lebo japo naamini angeenda kwa KIBA angeimba ule mziki wake tunaoujua. Ni kama vile jinsi Nuh ambavyo mziki wake umekua mtamu vilevile. Mfn. Jike shupa.

Muhimu Mavoko aweke malengo asilowee huko. Akishapata brand na uzoefu ajitoe mapema aanzishe lebo. Tunahitaji ushindani zaidi ili mziki wetu uzidi kukua.
 
Ukisikiliza kokoro na show me utagundua Mavoko amepoteza uwezo wake wa kuandika kabisa inawezekana ana malengo na soko la nje pia ila ni kweli Mavoko hana tena mashairi murua hata uimbaji pia.

Msomeni mdau hapa alicho comment hili swala ndio tunaongelea humu ndani.....tunaongelea muziki hatuongelei maisha ya mtu binafsi....

Hayo mengine humu sio nafasi yake....
 
utakufa nacho kijiba cha roho..na utazikwa nayo roho mbaya na choyo.
 


Sawa sawa kiongozi upo right na ndio sababu ya kuanzisha mada kuongelea haya ila naona watu wapo zaidi kwenye maslahi nini anapata au nini amefata WCB

Ni kweli hujakoseaaa na ni kweli nadhanu management alikuwa hana nzuri ila ningependa sanaaa angelea kuachia zile zile nyimbo zake maana ndi9 zinazomfaaa....mbona kiongozi wao anaendelea na soko la kimataifa na still nyimbo zake zipo vile vile

Kijana alikuwa vizuri kwa ujumla na mpaka yupo vizuri sema inabidi aangalie mbele zaidi kama anaupenda mziki wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…