Rich Mavoko upo??Naamini unajutia ulichofanya!!

Diamond huyu huyu mwenye ndoto za kuipeleka bongo fleva America ndo anyimwe usingizi na Rich Mavoko?
Ndicho kinachompa Diamond umaarufu,nia yake ya ku search mashabiki kimataifa,sasa tofautisha kujulikana na uandishi,yule leo hata aimbe ngonjera mtamshabikia tuu tofauti na mavocco ambaye ana uandishi mzuri ila brand ndio shida,na yeye alijua akienda kwa Diamond atabebwa na brand,matokeo ndo amepotea kabisa
 
We unamjua sana mavoko?
hebu acha uchawi kwanza au sio bure umerogwa wewe
 
Hiv mtu aliyepotea unaweza ukamwanzishia uzi.....mbona show me ni moja ya ngoma zilizo na airtime ya kutosha kwa mda huu au huko kupotea kukoje......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…