"Zamani nikiwa mjinga nilishawahi kuwa Mwenyekiti wa Vijana CHADEMA wilaya ya Iringa, lakini zamani hiyo hiyo, nikiwa mjinga zaidi nilishawahi kuwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Isimani, nilikua mgombea wa Udiwani kata ya Mboliboli mwaka 2020 kupitia CHADEMA, Safari yangu kuikataa CHADEMA ilianza tarehe 20 mwezi wa saba pale Mwembetogwa nikiwa pamoja na Mchungaji Msigwa".
Hayo yamesemwa na Richard Joseph Ligoha aliyekuwa Kiongozi ndani ya CHADEMA ambapo kwa sasa ni Mwanachama wa CCM, aliyasema hayo alipopewa nafasi ya kuzungumza katika Baraza la Vijana UVCCM Iringa Vijijini likiongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Iringa Vijijini, Eliah Kidavile.
"Zamani nikiwa mjinga nilishawahi kuwa Mwenyekiti wa Vijana CHADEMA wilaya ya Iringa, lakini zamani hiyo hiyo, nikiwa mjinga zaidi nilishawahi kuwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Isimani...
Hapana.
Kisha vuka ngazi hiyo tayari. Huyu na Mchungaji Feki wako kwenye ngazi ya Upumbavu tayari.
Hawa watu sijui wataficha wapi nyuso zao waTanzania watakapo amua kuinusuru nchi yao toka kwenye huu ukoloni.
"Zamani nikiwa mjinga nilishawahi kuwa Mwenyekiti wa Vijana CHADEMA wilaya ya Iringa, lakini zamani hiyo hiyo, nikiwa mjinga zaidi nilishawahi kuwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Isimani, nilikua mgombea wa Udiwani kata ya Mboliboli mwaka 2020 kupitia CHADEMA, Safari yangu kuikataa CHADEMA ilianza tarehe 20 mwezi wa saba pale Mwembetogwa nikiwa pamoja na Mchungaji Msigwa".
Hayo yamesemwa na Richard Joseph Ligoha aliyekuwa Kiongozi ndani ya CHADEMA ambapo kwa sasa ni Mwanachama wa CCM, aliyasema hayo alipopewa nafasi ya kuzungumza katika Baraza la Vijana UVCCM Iringa Vijijini likiongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Iringa Vijijini, Eliah Kidavile.
"Zamani nikiwa mjinga nilishawahi kuwa Mwenyekiti wa Vijana CHADEMA wilaya ya Iringa, lakini zamani hiyo hiyo, nikiwa mjinga zaidi nilishawahi kuwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Isimani, nilikua mgombea wa Udiwani kata ya Mboliboli mwaka 2020 kupitia CHADEMA, Safari yangu kuikataa CHADEMA ilianza tarehe 20 mwezi wa saba pale Mwembetogwa nikiwa pamoja na Mchungaji Msigwa".
Hayo yamesemwa na Richard Joseph Ligoha aliyekuwa Kiongozi ndani ya CHADEMA ambapo kwa sasa ni Mwanachama wa CCM, aliyasema hayo alipopewa nafasi ya kuzungumza katika Baraza la Vijana UVCCM Iringa Vijijini likiongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Iringa Vijijini, Eliah Kidavile.
"Zamani nikiwa mjinga nilishawahi kuwa Mwenyekiti wa Vijana CHADEMA wilaya ya Iringa, lakini zamani hiyo hiyo, nikiwa mjinga zaidi nilishawahi kuwa Katibu wa CHADEMA jimbo la Isimani, nilikua mgombea wa Udiwani kata ya Mboliboli mwaka 2020 kupitia CHADEMA, Safari yangu kuikataa CHADEMA ilianza tarehe 20 mwezi wa saba pale Mwembetogwa nikiwa pamoja na Mchungaji Msigwa".
Hayo yamesemwa na Richard Joseph Ligoha aliyekuwa Kiongozi ndani ya CHADEMA ambapo kwa sasa ni Mwanachama wa CCM, aliyasema hayo alipopewa nafasi ya kuzungumza katika Baraza la Vijana UVCCM Iringa Vijijini likiongozwa na Mwenyekiti wa UVCCM Iringa Vijijini, Eliah Kidavile.