Richard Quest : Mpesa never invented by a Kenyan. πŸ˜…πŸ˜… The truth revealed

Wabongo katika ubora wao, wivu na majungu kama kawa. Ingependeza zaidi kama mngetuambia kwamba M-Pesa chimbuko lake ni Tanzania.
Mkuu ni Britain.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Usibadili mada. Vodafone ndo mmiliki. Nyinyi mli gundua jinaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
 
Kati yangu na wewe nani anaonekana kama mwenye hata hakustep kwenye mlango wa darasa?? Differentiating "R" and "L" ni nzito kwako.
 
Itakuwa hela mbuzi kwasababu hakujua itakuwa kubwa kiasi gani?
Tetesi limekuwa tangu zamani kwamba hata hawakumpa chochote. Sina uhakika kama ni kweli ila inasemekana aliwa'approach' Safaricom yeye mwenyewe ila wakampuuzilia mbali alafu miezi kadhaa baadaye Safaricom wakazindua M-Pesa. Ngoja ntafanya risechi, kuna wakati mmoja zamani kidogo niliona kwamba kuna kesi ilikuwa imewasilishwa mahakamani Kenya dhidi ya Safaricom. Sijui kuliendaje hizo habari zikazamia kusikojulikana.
 
Mpesa and Safaricom success gives these bongolala sleepless nights.

Remember, Safaricom half year profits is greater than the full year profits of all companies listed on DSE... combined.
 
Source WikipediaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Monku atabi kuwa MonkuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kuku kavishwa kilemba leo. Kuna watu leo watashinda njaa humuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaha...jamaa kwa kudandia ya watu hawajambo, yananikumbusha ya Mount Kili, eti uko Kenya tu..?!
Ndorobo sana hawa manyang'au..
 
Kafanye research jobless. Ukimaliza leta mrejeshoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaha...jamaa kwa kudandia ya watu hawajambo, yananikumbusha ya Mount Kili, eti uko Kenya tu..?!
Ndorobo sana hawa manyang'au..
Hizi Kunya huwa ziko na matatizo sana. Wazee wa thumb up. Uhuru aki launch kiti utasikia Africa, Africa. Utafikili yeye ni rahisi wa Africa. Yakwake Kenya yamemshinda yupo anaongelea Africa. Hizi kunya leo tumezitoa stopper kwenye malinda lazima ziharishe sana humuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umenikumbusha project yangu moja ya mwaka 2008. Ila nona jamaa wameanza kuitumia kidogo kidogo.
 
From Wikipedia right?
 
Kati yangu na wewe nani anaonekana kama mwenye hata hakustep kwenye mlango wa darasa?? Differentiating "R" and "L" ni nzito kwako.
Message sent. Hujui kuwa mobile money ime fail kwenye nchi nyingi za Africa alafu unaongelea UKπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hivi mzungu mjinga kuona opportunity akaiyacha?? You are just a product of a burst condom from a failed abortion.
 
Achana na mpumbavu ajiulize kama kila mtu angekuwa na bank account Africa? M-Pesa ingekuwa success?
 
Umenikumbusha project yangu moja ya mwaka 2008. Ila nona jamaa wameanza kuitumia kidogo kidogo.
Wapi, Kenya? Ukiona kitu kama hicho na una ushahidi usisite kufika mahakamani jombaa, usije ukajuta baadaye.
 
Wapi, Kenya? Ukiona kitu kama hicho na una ushahidi usisite kufika mahakamani jombaa, usije ukajuta baadaye.
hapa hapa bongo mkuu, nimeachana nayo, itakuwa ngumu sana kuprove kokote. kwani niliokuwa nawasiliana nao either wameacha kazi, wamehama nchi, na baadhi ya kampuni zimebadili majina zaidi ya mara mbili.
 
Tanzania leads the world in sorcery manze at 92% na bado utawapata ni waislamu na wakristo yani unafiki wa hali ya juu.
 
Kuna mahali nimekwambia Mkenya ndio amegundua M-Pesa? Hio Wikipedia unayoidharau ungesoma vizuri hamna sehemu wanasema Mkenya ndio kagundua M-Pesa. Mara ya kwanza nimeona Neno M-Pesa ilikuwa kwenye Bango UK nikashangaa kwa sababu ya neno PESA limeingia vipi? Bango lilikuwa Vodafone M-Pesa. Kwahio najua siku nyingi sana kuwa M-Pesa waliigundua UK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…