Richard Quest : Mpesa never invented by a Kenyan. πŸ˜…πŸ˜… The truth revealed

Richard Quest : Mpesa never invented by a Kenyan. πŸ˜…πŸ˜… The truth revealed

Don’t argue with these fools. Wamezoea kuquote Ndii and any other Twitter loud mouth as EVIDENCE.πŸ˜‚πŸ˜‚
This thing was created by a Naive Moi university student. Around 2007 he tried to make noise akapewa a few KSH millions & a few shares akanyamazia hio story

View attachment 923807
Tupatie evidence ya yeye kupewa pesa. Companies dont do things in the shadow. Au yeye ni kaka yako???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Stop trashing someone's brilliant invention. Mark Zukerberg came all the way from the U.S to Kenya, just to see how M-Pesa came to be.
Sikieni hii ........y nyingine. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kenya mko na shida kwa kichwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni Melissaaa kweli?πŸ˜€
Aliibuka na Mamba Kinko hiyo jana tu. Hahaha! [emoji1] Ukideal na watu humu uwe unajua baadhi yao wana matatizo ya ubongo na low self esteem kupindukia. Wana maprofile mengi hadi wameyajaza kwenye vijikaratasi vya A4 ili wasije wakajiumbua. Wanadhani wanatupumbaza, tuko ngangari buana. [emoji23]
 
Stop trashing someone's brilliant invention. Mark Zukerberg came all the way from the U.S to Kenya, just to see how M-Pesa came to be.
Sasa alikutana na nani wa kumpa lecture ya Mpesa wakati hata jina hajulikani?
 
At least Kenyans wanaweza dhani kwamba they can come up with something great and lie the world about it ila sisi Watanzania tunajidharau mnoo na hatuamiaminiani hata kidogo kwamba we do something good.
 
The system to be called Mpesa doesn't make it possibly invented by Kenyans

In Tanzania we have more than 40 vernacular languages which call money as "besa" that's mother tongue so if you don't know "pesa" derived from "besa" Tanzanians tribal word for money.

Then who's close to the innovation ownership? If we play branding card?

Lol. Ati a Tanzanian tribal word for money.
Tembea nani.

'Besa' is not a Tanzanian word. It is a Bantu word.
Even here in Kenya, Bantu speaking tribes like Kikuyu call it exactly that.
 
Aliibuka na Mamba Kinko hiyo jana tu. Hahaha! [emoji1] Ukideal na watu humu uwe unajua baadhi yao wana matatizo ya ubongo na low self esteem kupindukia. Wana maprofile mengi hadi wameyajaza kwenye vijikaratasi vya A4 ili wasije wakajiumbua. Wanadhani wanatupumbaza, tuko ngangari buana. [emoji23]
Ngangari kwakusems Mimi MelisaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lol. Ati a Tanzanian tribal word for money.
Tembea nani.

'Besa' is not a Tanzanian word. It is a Bantu word.
Even here in Kenya, Bantu speaking tribes like Kikuyu call it exactly that.
Bingwa wa memes unalipi jipya πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom