Richard Quest on Kenyan SGRπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hahahha apia
 
Mwenye pesa huwa atibiwiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ugonjwa unaogopa pesa. Sawa ma jobless
Usijidanganye kwamba kila Mkenya unayeongea naye hapa Jf ni Jobless. Just because you have money doesn't mean other people don't have money. Humility is free, get one
 
Usijidanganye kwamba kila Mkenya unayeongea naye hapa Jf ni Jobless. Just because you have money doesn't mean other people don't have money. Humility is free, get one
Bwana wee hamna mkenya mwenye pesa yupo humu....wa humu ndo wale wale pangu pakavu tia mchuzi , wale mnajiitaga lower middle class teeh.. mmejifungia huko pipeline na kwenye mafulusuti ya kibera
 
Ondoa uwongo wako hapa, sindano imekuingia vizuri walahi
 
should have finished with " and if he was to visit SGR there is nothing to hide " but since you came defensively I'll assume you are hiding something and that Mulisaa is right. Is it that bad?
 
should have finished with " and if he was to visit SGR there is nothing to hide " but since you came defensively I'll assume you are hiding something and that Mulisaa is right. Is it that bad?
Whatever you say, kila mtu ana uhuru wa kuamini na pia kusema atakalo. Its a free world.
Ondoa uwongo wako hapa, sindano imekuingia vizuri walahi
 
Kama unanijua mbona unanipa options tatu nichague? Kama unanijua si umwage picha yangu hapa Jf kila mtu aone. Mbona unanipa options tatu? Hio inaonyesha kwamba hunifahamu.
Uzuri nikwamba umejua najua wewe ni nani. Kwa kuwa huwa unamakeke sana i will just let it goπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ukileta chokochoko nakuanikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uzuri nikwamba umejua najua wewe ni nani. Kwa kuwa huwa unamakeke sana i will just let it goπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ukileta chokochoko nakuanikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nianike babaa. Mimi si size yako.Hujui mimi ni nani na hutawahi jua. Huwa unajisifia eti wewe ni mtu wa intelligence, eti unaweza tuma bug kwa simu yangu kisha ukaactivate front camera ili unione. Fanya hivyo saa hii, nakungoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…