Richest Pastors in Africa

Richest Pastors in Africa

Kwa hiyo mnafurahi nyie mkiwa na maisha mazuri halafu watumishi wa Mungu wawe makabwela?.

Hata Yesu alikuwa na mtunza fedha, means kuna sehemu alikuwa anapokea/kujipatia kipato cha kurahisisha uendeshaji wa huduma yake.

Ukiona mtu anamiliki fedha nyingi, tambua pia kuna magumu mengi amepitia hadi kufikia hatua hiyo.

Fedha mnazohonga malaya au kunywea visungura mnaona sawa na hakuna anayewalaumu juu ya matumizi ya jasho lenu, lakini kutoa sadaka kwa mtu anayekupa neno la faraja mnaona nongwa.

Acheni wivu na makasiriko.
 
Kwa hiyo mnafurahi nyie mkiwa na maisha mazuri halafu watumishi wa Mungu wawe makabwela?.

Hata Yesu alikuwa na mtunza fedha, means kuna sehemu alikuwa anapokea/kujipatia kipato cha kurahisisha uendeshaji wa huduma yake.

Ukiona mtu anamiliki fedha nyingi, tambua pia kuna magumu mengi amepitia hadi kufikia hatua hiyo.

Fedha mnazohonga malaya au kunywea visungura mnaona sawa na hakuna anayewalaumu juu ya matumizi ya jasho lenu, lakini kutoa sadaka kwa mtu anayekupa neno la faraja mnaona nongwa.

Acheni wivu na makasiriko.
Hebu niambie, ingekuwa hao maelfu ya watu wanaokusanyika mbele za hao watumishi, wanafanikiwa, tungekuwa tunaongelea suala la umasikini kweli?

Angalau kwa ngazi ya kitaifa, ukizingatia hao watumishi wapo miaka na miaka

Huko daresalaam walipojazana kungekuwa na walala hoi kweli?
 
Hizi takwimu za uongo, sijamuona Kakobe, Gwajima, Mwamposa, Musa n.k, hao wote wana mpunga mrefu kuzidi hao wenye utajiri wa 100k, 400k n.k
500mil tena US dollars si mchezo ni zaidi ya trln za kitz
Akina kakobe wana pesa ila kwa hao wanaigeria wanasubiri sana
 
  • Thanks
Reactions: K11
Hebu niambie, ingekuwa hao maelfu ya watu wanaokusanyika mbele za hao watumishi, wanafanikiwa, tungekuwa tunaongelea suala la umasikini kweli?

Angalau kwa ngazi ya kitaifa, ukizingatia hao watumishi wapo miaka na miaka

Huko daresalaam walipojazana kungekuwa na walala hoi kweli?
Umasikini unaondolewa kwa kanuni za kiuchumi sio za kuombewa pekee, fanya kazi kwa bidii unaepuka umasikini na sio sali sana ili kuepuka umasikini.

Hao wana saidia kwenye mambo ya kiroho, unaweza enda kusali kwao ukiwa na msongo wa mawazo ukarudi unafaraja na amani ya moyo.

Pia kuna wengine miongoni mwa wafuasi wa hao watumishi wamefunguliwa kwenye mateso ya kiroho na kiafya kupitia hao watu.
 
500mil tena US dollars si mchezo ni zaidi ya trln za kitz
Akina kakobe wana pesa ila kwa hao wanaigeria wanasubiri sana
Kwa hao wanageria ni habari nyingine, kidogo akina Mwingira kwenye zile nafasi za 10M Usd wangekuwepo
 
Kwa hao wanageria ni habari nyingine, kidogo akina Mwingira kwenye zile nafasi za 10M Usd wangekuwepo
Hapo sawa
Maana hizi tenite wanazo force mpka kufikia utajiri wa 500mil usd sio mchezo
 
Hapo sawa
Maana hizi tenite wanazo force mpka kufikia utajiri wa 500mil usd sio mchezo
Utajiri huo nadhani ni sehemu tu ya assets walizo nazo.
Kumbuka hao jamaa hawalipi kodi, mzigo unabebwa kama ulivyo, sasa kama mtu ameweka hadharani mali na fedha zenye thamani ya 500M Usd, si ajabu akawa ana hata 1B Usd.

Ila yote katika yote, huko Nigeria na South Africa kuna watu ambao ni habari nyingine.

Hawa akina Mwamposa tunaowaonea wivu na kuwasema vibaya daily wana safari ndefu ya kufika huko.
 
UZURI WA HUU UTAPELI.
ANAYETAPELIWA NDIO MTETEZI WAKO!!!
KWAMBA MAFANIKIO MAKUBWA YA NABII, MTUME, YANATEGEMEANA NA ALIVYO WAGEUZA WAUMINI WAKE KUWA MAZOMBIES.😀
 
UZURI WA HUU UTAPELI.
ANAYETAPELIWA NDIO MTETEZI WAKO!!!
KWAMBA MAFANIKIO MAKUBWA YA NABII, MTUME, YANATEGEMEANA NA ALIVYO WAGEUZA WAUMINI WAKE KUWA MAZOMBIES.😀
Anawaambia wakamuombe Mungu huku yeye anawaomba wao, je yeye anaogopa nini kwenda kumwomba Mungu
 
Kwa hiyo mnafurahi nyie mkiwa na maisha mazuri halafu watumishi wa Mungu wawe makabwela?.

Hata Yesu alikuwa na mtunza fedha, means kuna sehemu alikuwa anapokea/kujipatia kipato cha kurahisisha uendeshaji wa huduma yake.

Ukiona mtu anamiliki fedha nyingi, tambua pia kuna magumu mengi amepitia hadi kufikia hatua hiyo.

Fedha mnazohonga malaya au kunywea visungura mnaona sawa na hakuna anayewalaumu juu ya matumizi ya jasho lenu, lakini kutoa sadaka kwa mtu anayekupa neno la faraja mnaona nongwa.

Acheni wivu na makasiriko.
Hapo ulipotumia mfano wa Yesu ndo umekosea, Yesu hakuja kuhubili utajiri au kutafuta Mali Bali kuokoa robo za watu
 
Back
Top Bottom