ili mseme amawatafuna
[emoji1]hapo alipo hajaajiri ila bado 'anawatafuna'..si aajiri tu...
75% ya nyie IQ uonekana kma in bellow averagewhy unasema hasara?
75% ya nyie IQ uonekana kma in bellow average
Dada yake Darleen si yupo anawakilishalini Diamond atachukua artists wa kike..?
Tatizo mnakariri maishaAchukue hasara .....nitamshangaa
Rich Mavoko ni Rais Wa BENDI GANI Mkuu?
Sawa nilijua ni Rais wa Bendi kama ni Waziri mwambie asimamie vizuri ilani ya Uchaguzi wa chama chao.Ni waziri wa mambo ya ndani wa Rwanda mkuu.
Mavoko hana matatizo na Clouds wala Eatv....hao adui yao Diamond tu sio hao watotoKama ni kweli atapotea katika mpoteo usiomithirika, jeuri zao kwa CLOUDS na EATV ataanzia wapi kusimama mwenyewe