Richi Mavoko kajitoa rasmi WCB

Kama ni kweli atapotea katika mpoteo usiomithirika, jeuri zao kwa CLOUDS na EATV ataanzia wapi kusimama mwenyewe
 
Rich nae atakuwa na shida, ikumbukwe kuwa Meneja Wake wa zamani Papaa Misifa hawakuachana vizur, Kabla ya kuingia WCB alikuwa anahaha na menejment yake mpaka akaanza kuonekana tapeli. Hatakama unakipaji na sauti nzuri usilazimishe kutoboa haraka haraka eti kwa kuwa fulani katoboa tunatofautiana mikondo ya pesa na bahati.; Mathalani, ukimtazama Harmonize dogo anabahati na mkondo wa pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…