Richi Mavoko kajitoa rasmi WCB

Kwa malezi aliyopitia utotoni ilikuwa ni lazima ashindwe,kaanze maisha mapya kama mwenzako kifesi.Ukiamini yote yanawezekana
 
Mali feki ausiooo!??[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wabongo kwa wivuu bhna
 
Bro Taratibu....Unamfananisha Richard na Diamond tena.... Sio fair Bro
 
Pochi nene ya Rayvan imerekodiwa kwenye studio za Switch chini ya mtayarishaji C2kizzy,

Je Rayvan kajitoa WCB?
 
sijiu kama linaukweli wowote kama wcb wameamua kumwachia jamaa na akaunt ya youtube yenye viewers hadi M 7
 
Ata mm nnge ondka make uu ni ujinga kila siku watu wale wale afu wewe upo kapuni na na uki angalia madgo wote wame kukuta kwenye game ila now wana kuzidi kila ktu
 
Alikosea sana kujiingiza huko wakati tayari alishajibrand kabla hata ya hao wcb
 
Alikosea sana kujiingiza huko wakati tayari alishajibrand kabla hata ya hao wcb
Huyo ambaye alikuwa hata akitoa wimbo hafikish views 1.5M? duuh,kubali kataa jamaa kaja kuchangamka zaidi baada ya kutua WCB huo ndo ukweli otherwise na yeye angefata njia za kina Dimpoz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…