Aiseeeeedaaah narudia kauli yangu museveni angekua raisi wangu ila yani bongo movie wakiwa wanahojiwa unakuta dume zima pozi kama za wolper.
Kuna Jamaa yuko Vodacom kashatafuna wawili Bongo movie..
The greatest analiwa kitambo tangu akiwa anacheza ngoma..
Watajweeeeeeee....warumi where are uu..njoo tulidiscuss hili swala
wala asiacha kaz hata wanasiasa wako tena wale maarufu kabisa! labda aseme ameichoka hyo unity
Labda anawaonea wivu wenzie , maana yeye kashazeeka soko hana , na waheshimiwa wanatak ngoz Lain kama za akina hemedy na ray
Labda anawaonea wivu wenzie , maana yeye kashazeeka soko hana , na waheshimiwa wanatak ngoz Lain kama za akina hemedy na ray
Unataka kuniambia Ray na PHD wanatoa ndogo?
wala asiacha kaz hata wanasiasa wako tena wale maarufu kabisa! labda aseme ameichoka hyo unity
Ukweli ni kwamba,Ray na Hemed PHD ndio wanafanya hayo mambo hapa bongo muvi
Wanasiasa gani?hata pm ukishindwa hapa
Kuna sura ukiziangalia Bongo movies zina utata sana.