Kampeni meneja naona una kazi ya kuweka mambo sawa huku online ila haiondowi ukweli kuwa jamaa kavaa bomu....Ndo Chaguo lake. Wivu unakusumbua
yani siku hizi ukitaka kuharibu mahusiano yako au ndoa yako sikiliza story za wanaume .wanaume tumekuwa wapashukuna na wambeya kuliko mkoa wa mbeya.
juzi nipo zangu mitaa fulani nikasikia kiu ya bia mchana nikaingia bar na hiyo baa huwa tupo wanaume tunajuana ila cha kushangaza kesho nasikia maneno nyumbani yaliongezewa kuliko kumsifu mama anaupiga mwingi
BOMU LENYEWE LA KICHAGA, ANYTIME!!!Hatimaye Richmitindo amekumbatia Bomu lake na tutarajie lolote ndani ya muda mfupi!
Wazazi wamegoma?Tunawatakia heri katika maisha yao ya ndoa. Ila wazazi wa Bwana harusi hawakuonekana sijui kisa nini
Hatimaye Richmitindo amekumbatia Bomu lake na tutarajie lolote ndani ya muda mfupi!
Bomu la aina gani?Hatimaye Richmitindo amekumbatia Bomu lake na tutarajie lolote ndani ya muda mfupi!
Ana hali mbaya kila siku zinavyosogea Kajala anazidi kumtia umasikini kila inapoitwa leo anamfirisi soon atarudi kariakoo, kamfirisi hadi kawatimua akina anjella na wengineo atamfirisi hadi atarudi kutembelea kandambili,Konde boy ana hali gani?
Mbona wadada mmepanic sana? Kulikoni?🤣🤣🤣Ndo Chaguo lake. Wivu unakusumbua
Daah wanaume kuna wakati tunajifanya wababe kiasi cha kuukabili moto bila maji.Ana hali mbaya kila siku zinavyosogea Kajala anazidi kumtia umasikini kila inapoitwa leo anamfirisi soon atarudi kariakoo, kamfirisi hadi kawatimua akina anjella na wengineo atamfirisi hadi atarudi kutembelea kandambili,
Ngoja aendelee kuchukua lecture si ametaka mwenyewe kuishi na Shangazi yake chumba kimoja,Daah wanaume kuna wakati tunajifanya wababe kiasi cha kuukabili moto bila maji.
Mtu kama Kala Harmonize kamwe hawezi kumdhibiti ni suala la muda tu.
Hayo ni maoni yake kuwa jamaa kamwe hamuwezi Wolper.Sasa watu wakisema unamuonea wivu Wolper na unataka uwe nafasi yake watakuwa wamekosea?
wewe maisha ya watu unawezaje kuyatabiri kama sio wivu na chukiHayo ni maoni yake kuwa jamaa kamwe hamuwezi Wolper.
Mbona mnamshambulia?
Kila kona mtanzania anasumbuliwa na kichwa panzi na uwezo mdogo kuelewa sijui kwaniniwewe maisha ya watu unawezaje kuyatabiri kama sio wivu na chuki