RichMitindo akumbatia bomu rasmi!

RichMitindo akumbatia bomu rasmi!

Kila kona mtanzania anasumbuliwa na kichwa panzi na uwezo mdogo kuelewa sijui kwanini
Hao ndo wanaendana maana kazi zao zinafanana. Wakioa au kuolewa na watu wa kawaida italeta shida.
 
Dah amezingua kweli, ila kazi zake nzuri
Screenshot_20221122_165955_com.whatsapp.jpg
 
Hata ikitokea....nothing is permanently! Waache wamependana acha washindwe wao....tusiwapimie ...huwez jua huenda ndo walipangiwa forever
 
Acheni maneno machafu kwa watu msowajua zaidi ya kuwasikia tu….hilo bomu Ritchie analijua na ndo ashaamua kulikumbatia jinyonge sasa!
Teh teh 😂😂 dah!...maisha haya...
 
Back
Top Bottom