Richmond case study: Je, Waziri Mkuu Majaliwa atavuka kikwazo cha Lowassa kwa ma-V 8 haya?

Mkuu nchi hii sasa hivi ukiwa Unazurula unapiga kelele mnooooo na kufokafoka kwenye media ndio unaonekana unachapa kazi balaa.

Ndio maana kuna watu wanamwona Jaffo aka mzee wa Nyungu anafaa kuwa Rais 🤣🤣🤣
 
DED anahujumu uchumi utaombaje kitu ambacho unajua ni haramu kwako ? VXR unajua sio hadhi yako kuwa nayo ww ukaomba hili ni kosa, alie idhinisha unaweza kuta alipewa Document ambazo ziko general na vitu vingi akapitisha kumbe kuna mzoga ndani yake
Happy ndipo pa kumkatilia ili kuonyesha unafanya kazi kwa weredi
 
Nyie maccm mnaandika upuuzi
Magufuli kamunua midege Nani kamtuma,

Katuibia tri 2.4 kamunua wapinzani mlikuwa kimya

Kawatapeli EU hela za korona mko kimya

Eti majaliwa kupitisha ununuzi wa v8 ndo mnaita ufisadi

Majinga nyie
 
Comrade huelewi nini hapo??Pale jiwe aliposema pm hana gurantee ndipo safari ya kumtemesha upm ilianza!!!HAPA kitengo kimesuka mpango wa kumuondoa pm kwa skendo bila yeye mwenyewe kujua mtego!!!namna pekee pm angeugomea mpango huu wa ufujaji pesa angekuwa salama!we subiri bunge liketi na kina Gwajima wapewe maiki waanzishe mpira uone tiktaka!!!!MKAPA ANAONDOKA NA PM WAKE MPENDWA!!!
 
Yote Tisa kumi game tough ,,,mafuta ya kula yamepanda Toka 3500 had 5000 ndan ya miez minne mjn iringa,na mkate yamepanda Toka 2000 had 2500 kwa wiki mbili ongezeko la 25%,,,,still you are discussing about Nani kamla mwanangu na fisi mnawaona,,,,focus🤕🤕🤕
 
Wataje maadui wa PM angalau wawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…