NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 408
CEO wa Maybach Music Group na rapper ambaye yupo kwenye peak sasa,namzungumzia Rick Rozay amenunua nyumba iliyokuwa inamilikiwa na bondia wa miaka mingi Evander Holyfield.
Nyumba hiyo ambayo ipo Georgia ikiwa katika eneo la hekari 235 na ikiwa na vyumba vya kulala 109 na sehemu ya wageni kulia chakula ikiwa na vuwezo wa kupokea wageni takribani 100.
sifa nyingine kubwa juu ya nyumba hii ni kuwa miongoni mwa nyumba zenye mabwawa ya kuogelea(swimming pools) kubwa zaidi marekani.
Kama utakumbuka jamaa aliwahi kuwa na ugomvi na rapper mwenzake 50 cent ambaye pia aliwahi kununua nyumba iliyokuwa inamilikiwa na bondia Mike Tyson.
Kuweza kuitunza nyumba hii itamgharimu Rick Ross takribani dola za marekani 17000(zaidi ya shilingi milioni 27) kulipia umeme na kiasi kingine cha dola milioni 1 kwa mwaka kama matunzo kwa nyumba hii.






Nyumba hiyo ambayo ipo Georgia ikiwa katika eneo la hekari 235 na ikiwa na vyumba vya kulala 109 na sehemu ya wageni kulia chakula ikiwa na vuwezo wa kupokea wageni takribani 100.
sifa nyingine kubwa juu ya nyumba hii ni kuwa miongoni mwa nyumba zenye mabwawa ya kuogelea(swimming pools) kubwa zaidi marekani.
Kama utakumbuka jamaa aliwahi kuwa na ugomvi na rapper mwenzake 50 cent ambaye pia aliwahi kununua nyumba iliyokuwa inamilikiwa na bondia Mike Tyson.
Kuweza kuitunza nyumba hii itamgharimu Rick Ross takribani dola za marekani 17000(zaidi ya shilingi milioni 27) kulipia umeme na kiasi kingine cha dola milioni 1 kwa mwaka kama matunzo kwa nyumba hii.





