Ridhiwan Kikwete afunguka sakata la dawa za kulevya

Ridhiwan Kikwete afunguka sakata la dawa za kulevya

Si alikua list ya kwanza huyu au ilikua maneno tu ya watu
 
Kuna kipindi wakati nimeshika sana dini, nafsi ilikuwa inanisuta sana pindi nikihubiri na kukemea kuhusu uzinzi. Nilikuwa nachepuka hivyo nafsi ilikuwa inanisuta hadi nikaacha kuhubiri. Huyu ni mgumu na jasiri sana au Labda anao utakatifu wa kidunia
 
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete, amefunguka kuhusu sakata la dawa za kulevya na kuipongeza serikali hususani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwa kuanzisha vita hiyo na kutaka wahusika wachukuliwe hatua.
2.JPG


Mh. Ridhiwan Kikwete akiwa ndani ya Studio za EA Radio

Kikwete amefunguka hayo leo katika kipindi cha East Africa Breakfast cha EA Radio, kinachoruka kila siku saa 11:00 alfajiri hadi saa 3:00 asubuhi.

Ametumia nafasi hiyo kuishauri serikali kuifikisha mwisho vita hiyo, ili kulimaliza kabisa tatizo hilo kwa kuwa limepoteza vijana wengi wenye uwezo mkubwa na mchango katika taifa, huku akitolea mfano uwezo wa msanii wa Bongo Fleva, Langa ambaye kwa sasa ni marehemu ikidaiwa kuwa alipoteza maisha kutokana na dawa hizo, pamoja na shida alizokuwa akizipata msanii Ray C, za kutafuta dawa hizo hata usiku wa manane.

Ameitaka mamlaka mpya wa dawa za kulevya kuwachunguza watu 97 ambao majina yake yamekabidhiwa hivi karibuni na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, na yeyote atakayethibitika kuhusika, achukuliwe hatua, huku akionesha imani kubwa kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dkt Rogers William Sianga.

Msikilize hapa alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na Songa wa Songa, wa East Africa Breakfast
1_5.JPG


Chanzo EATV...Kikwete afunguka sakata la dawa za kulevya | East Africa Television
Noted
 
Aibu yao aibu yetu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete, amefunguka kuhusu sakata la dawa za kulevya na kuipongeza serikali hususani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwa kuanzisha vita hiyo na kutaka wahusika wachukuliwe hatua.
2.JPG


Mh. Ridhiwan Kikwete akiwa ndani ya Studio za EA Radio

Kikwete amefunguka hayo leo katika kipindi cha East Africa Breakfast cha EA Radio, kinachoruka kila siku saa 11:00 alfajiri hadi saa 3:00 asubuhi.

Ametumia nafasi hiyo kuishauri serikali kuifikisha mwisho vita hiyo, ili kulimaliza kabisa tatizo hilo kwa kuwa limepoteza vijana wengi wenye uwezo mkubwa na mchango katika taifa, huku akitolea mfano uwezo wa msanii wa Bongo Fleva, Langa ambaye kwa sasa ni marehemu ikidaiwa kuwa alipoteza maisha kutokana na dawa hizo, pamoja na shida alizokuwa akizipata msanii Ray C, za kutafuta dawa hizo hata usiku wa manane.

Ameitaka mamlaka mpya wa dawa za kulevya kuwachunguza watu 97 ambao majina yake yamekabidhiwa hivi karibuni na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, na yeyote atakayethibitika kuhusika, achukuliwe hatua, huku akionesha imani kubwa kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo, Dkt Rogers William Sianga.

Msikilize hapa alipokuwa akijibu swali aliloulizwa na Songa wa Songa, wa East Africa Breakfast
1_5.JPG


Chanzo EATV...Kikwete afunguka sakata la dawa za kulevya | East Africa Television

Nimesahau jamani hivi ni Mtoto gani vile wa Rais mmoja wapo wa Tanzania ( Mstaafu ) alitakiwa ' Kunyongwa ' kwa kukutwa akisafirisha Dawa za Kulevya nchini China? Mwenye kumbukumbu tafadhali anikumbushe kwani nimeshasahau.
 
kwenye wale 97 jina lake ni la 5 sasa nashangaa kelele nyingi,utaongea hayo ukiwa shimoni wewe na pinto na kinje na jamaa zako wa gsm,am sorry jk

La Pinto ni la 37 huku la Kinje ni la 9.
 
sasa tunaanza kupata matamu , nyani wa nyuma anamcheka aliye mbele yake, anasahau nyuma yake kuna nyani wengine.
 
Alikuwa anamtegemea mfunga kamba wake Mzee Magu kambadilisha sasa ana tapa tapa Jiwe halitobakia juu ya Jiwe Jamaa hadi Kenya wanamtambua fika..
 
Watanzania kelele nyingiiii.approach approach
Mpaka jamaa.AME escape. Mngekaa kimya tumuone makonda kama ni mnafiki au la.
 
kwani target ya magu watu bado hawajaijua tu top three na wewe umo unayepiga simu airport
 
Weeh bwana weeeh! Msishangae kumwoona Riz na Paul kwenye billboard kama wapigaji vita wanacheka cheka na watoto waasirika na kule chini imeandikwa "Tanzania Bila Dawa Za Kulevya Inawezekana" hahahahaha Ntacheka sana siku hiyo!!

Mtu alisema ukweli "Sometimes the best Defense is a Good Offense" LOLOLOL
 
Mtoa list ni mtu anayeinama mbele yake na kufunga kamba zaviatu,siajabu kwenye kuandika list alitajiwa!!
 
Back
Top Bottom