Ridhiwan Kikwete afunguka sakata la dawa za kulevya

Haya ndo matatizo ya jamii yetu. Hawa EA radio kwa nini wanahoji mtu ambaye hajawahi kuwa mfano mzuri au mfano wa kuigwa ktk jamii? Kwa kuwa ni Mbunge? Kwa nini wasiwatafute Cerebral people ili angalau tusikie jipya?

Hapo kuna jipya gani? Yoote aliyoongea ndo yaliyokuwa jukwaani siku ya kukabidhi faili la hao 97. Leo naye anarudia hayo! What is this?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…