Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Pale kigamboni alipora ardhi ya mzee mmoja hivi kisa tu baba yake Ni raisi.Mhiii huyu huyu aliyefukuza watu pale nchicha na kuweka bandari yake kavu immediately baada ya Magufuli kufariki
Sifahamu kwa sababu hiyo hiyo biblia inashutumu kuwa Yesu kafanywa laana. astaghafuruLlah.Ahaa. Yesu aliwauliza mafarisayo asiye na dhambi ndio ampige jiwe yule mwanamke. Je unafahamu maana yake?
Acha kujitoa fahamuSifahamu kwa sababu hiyo hiyo biblia inashutumu kuwa Yesu kafanywa laana. astaghafuruLlah.
Unaona ajabu Yesu Kristo kukubali laana ili akuokoe wewe na ulimwengu mzima?Sifahamu kwa sababu hiyo hiyo biblia inashutumu kuwa Yesu kafanywa laana. astaghafuruLlah.
Nimecheka sana [emoji2]Kwa umri wangu nilifikiri nimeona kila kitu . Haya nayo ni maajabu mengine