Ridhiwani akabidhi hati nne za ardhi Kilimanjaro

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete (Mb), amekabidhi hati nne za milki ya ardhi kwa hospitali ya Kibong’oto mbele ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Mpango wakati wa uzinduzi wa maabara ya jamii hospitalini hapo. Mpango wa matumizi ya ardhi kwa ajili ya hospitali hiyo umeandaliwa pia.

#KaziInaendelea
#ArdhiYetu
Your browser is not able to display this video.
 
Kwanini huyu jama habari zake zinapewa uzito kuliko boss wake, hii ni mara ya pili akiwa na VP yeye anatajwa kwanza then VP
 
Katiba Mpya itasimamia vizuri ardhi na mgawanyo wake KWA wananchi Ili kuondoa sintofahamu ZOTE zile zilizopo!

Pia tutawaepuka wahuni wanaodhulumu wananchi haki yao ya umiliki wa ardhi nchini!

Itatuepusha pia na siasa za Kujuana na UFISADI!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya""!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…