VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Wakili Ridhiwani J. M. Kikwete amerejea rasmi UDSM kwa masomo ya Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kwa mwaka wa masomo 2013/2014. Kozi husika inaitwa " Taught LLM in Corporate". Kozi husika ni ya mwaka mmoja na itakuwa ikifundishwa jioni Mikocheni B.Baada ya sarakasi za Shahada ya kwanza hapo UDSM,Ridhiwani sasa amerejea kilingeni. Atatoboza????
Mkuu mbona unatutia aibu wana UDSM wenzako?Angeenda kusoma chuo chetu flani, kusingekalika humu...karibu UDSM Rizi ujibebee LLM yako
Wakili Ridhiwani J. M. Kikwete amerejea rasmi UDSM kwa masomo ya Shahada ya Uzamili ya Sheria (LL.M) kwa mwaka wa masomo 2013/2014. Kozi husika inaitwa " Taught LLM in Corporate". Kozi husika ni ya mwaka mmoja na itakuwa ikifundishwa jioni Mikocheni B.Baada ya sarakasi za Shahada ya kwanza hapo UDSM,Ridhiwani sasa amerejea kilingeni. Atatoboza????
kwani rizmoko anawakera nini nyie vilaza? mnatamani nafasi yake ya kua mtoto wa raisi? kwani yeye aliomba awe hvyo? toeni pumba zenu, kama hamna vitu vya msingi vya kujadili ni bora mchukue jembe mkalime