Ridhiwani arudi UDSM

Wabongo bhana wana matatizo sana angeenda Oxford mngesema 'oooh! Wanasomeshwa ulaya wakikwepa elimu ya bongo magumashi!!!! kaenda Mliman bado mnapepesa ndimi zenu ndomana hatuendelei kwa fitina zenu!!
 
anapanua wigo wa kuoperate makampuni ya mafuta,maoteli et
 
llm ameishafanya uk. nadhani hapo anapanua wigo wa kuongoza makapuni yake ya mafuta,gesi n maoteli yaliyoko kwenye mbuga za wanyama na mijini na mabiashara mengine ya mzee. (llm corporate mgt ji muafaka kwa bizz zake)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…