Ridhiwani: Hizi si fedheha?

mkuu haya mambo ya siasa yanatia uchungu sana kuona picha kama hizi ndio maana napoteza kwenye sports lol.

Kwenye sport kuna Siasa umemsikia Wenger akilia na waamuzi na Jitu Kubwa (Big SAM) alivyomkumbusha kuwa football is a contact game kama vipi Arsene akafundishe Pull Table!
 
Kwenye sport kuna Siasa umemsikia Wenger akilia na waamuzi na Jitu Kubwa (Big SAM) alivyomkumbusha kuwa football is a contact game kama vipi Arsene akafundishe Pull Table!

Hizo sio siasa ni mbinu ya kuteka akili za marefa wewe si unamuona mzee ferguson nae anambinu zake za kuteka akili za marefa lol.


Naona mzee unacheza na wadogo zao liverpool wikiendi hii simchezo.
 
Hizo sio siasa ni mbinu ya kuteka akili za marefa wewe si unamuona mzee ferguson nae anambinu zake za kuteka akili za marefa lol.

Just like the way Jose Maurinho took a swipe on Arsene Wenger last week that Arsenal have never and will never be the UEFA championship winners!
Vote CCM
 

Siku JK atakapoondoka madarakani, kwa mwenendo huu, Ridhiwani AKIMBIE NCHI! Amekwishajenga uhasama kila pande. Si tu kwenye UVCCM, bali hata kwenye michezo (Yanga). Anatumia nafasi ya baba yake kibabe. Watanzania ni wapole, lakini wana ukomo wao wa staha.
 
Huko bana kuna njaa si mchezo, usishangae hawa wamepewa buku buku tu kujisimamisha hapo ili kijana aonekane safi,

Huruma kweli kwa wasiotambua ujinga wa hawa mafisadi,nadhani mwisho wa kuchezea akili za Taifa letu umefikia kikomo.
 
This family need psychiatric help.
 
Prince Riz One al Jakaya bin Kikwete of the Sultanate Republic of Tanzaniayal

! ipo siku atajutia hayo anayoyafanya. hao hao wanaopapatikia hawatampa hata mikono yao kumsalimu. Subirini siku baba yake akiacha urais. Ni mpumbavu sana huyu mtoto ningekuwa mimi ningefanya biashara kama mwehu.

Ndiyo maana namfagilia sana mwinyi na watoto wake hasa Hussein mwinyi.

Ridhiwani shule haijamsaidia kabisa.
 
Just like the way Jose Maurinho took a swipe on Arsene Wenger last week that Arsenal have never and will never be the UEFA championship winners!
Vote CCM

Kuna akili za lazima kushinda (CCM) na akili za ushindi unaostahili. Akili ya kughilibu watu kwa fedha zao na akili ya kujikomboa kwa kuface hali uso kwa uso (KUPIGA KURA KUCHAGUA KILICHO BORA (siyo ccm imechafuka mno)). CCM will win at any cost even at the cost of LIFE!!!! Asernal wins the hearts others win at the cost of their and others hearts. FOR EVER ASERNAL MEMBER AND FAN
 
Haya mambo ndo yanayo nifanye nimchukie Mkwere na CCM ! Dogo anakagua parade
Halafau Kinana anakuja anatwambia kuna vijana kama 30 akiwamo Ridhiwani wameteuliwa kutoka UVCCM wamkampenie JK...anashangaa kwanini watu hawaulizi habari za hawa wengine 29, wanauliza za Ridhwani tu...kumbe hajuwi kuwa habari za Ridhwan hazifanani na za hao 29 wengine maana zimefurutu ada...angalia watoto wamekakamaa hapo kama wananjaa hivi...du kweli naaamini maneno ya Prof. Baregu kuwa ujinga wa Watanzania na njaa ndiyo mtaji wa CCM.
 
Uraisi ni mtamu kwa familia nzima sasa,mama anaangaika,mtoto pia.Mbona nchi za wenzetu awafanyi hivyo.Huu ni ufisadi wa macho macho,UVCCM choka mbaya wana hela ya ziara za Ridhiwani kama sio mshiko toka kwa Baba.Jamani tuache hiyo historia itakuja kutuhukumu bila haya.Mama,mtoto.kumpigia kampeni BABA kwa pesa ya serikali.Kwelimie nitawashitaki mbele ya haki Tendwa mbona kimya kwa hili.ongea tukusikie pia.
 
yeye ni kama nani? katika ccm , maana nipepatwa na kigugumizi
 
Shule zipo kwa ajili ya matumizi mbalimbali, ukizingatia mishahara yenyewe midogo hii utafanya nini? hata kama ningekuwa mimi ningewaambia wanafunzi wajipange msitari na kumpigia makofi na kushangilia, kisha ningepewa ka-posho kangu nyumbani na wanangu kula bamia. tutafanya nini kama bado hatujaamua kufanya mabadiliko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…