Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
mkuu haya mambo ya siasa yanatia uchungu sana kuona picha kama hizi ndio maana napoteza kwenye sports lol.
Kwenye sport kuna Siasa umemsikia Wenger akilia na waamuzi na Jitu Kubwa (Big SAM) alivyomkumbusha kuwa football is a contact game kama vipi Arsene akafundishe Pull Table!