Ridhiwani Kikwete afungua maonyesho ya viwanda vya kuzalisha Nishati kwa kutumia Teknolojia mbalimbali

Ridhiwani Kikwete afungua maonyesho ya viwanda vya kuzalisha Nishati kwa kutumia Teknolojia mbalimbali

Naona kijana anaandaliwa..sasahivi kila tukio yupo anapewa maiki atie neno..kumbukeni hata mwenda zake alikua na lengo la kuongezewa miaka.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakina SHIKUBA waliisha wataja kwenye kesi yao kuwa ukoo wao unahusika na Biashara hiyo kama alivyokuwa NORIEGA!!!
Kwahio mashtaka kwa ukoo 😆😆😆😆😆
Ukoo ndio mtu gan ss
 
Back
Top Bottom