Ridhiwani Kikwete ashiriki wiki ya maji, amshukuru Rais Samia na kuwahakikishia watanzania kutatua changamoto za ardhi

Ridhiwani Kikwete ashiriki wiki ya maji, amshukuru Rais Samia na kuwahakikishia watanzania kutatua changamoto za ardhi

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ndugu Ridhiwani Kikwete ameshiriki Uzinduzi wa Wiki ya Maji huko Simanjiro Mkoani Manyara iliyozinduliwa na Makamu wa Rais wa Tanzania Mje. Dkt. Philip Isdor Mpango.

Akitoa salamu za Wizara ya Ardhi, Mhe. Kikwete amempongeza na kumshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutenga Bajeti itakayowezesha utekelezaji wa majukumu ikiwemo kuondoa migogoro ya wakulima na wafugaji, mipaka baina ya Wilaya, Mikoa na Hifadhi na Usalama wa Ardhi.

Pia Mheshimiwa Naibu Waziri Kikwete amewahakikishia Watanzania kuwa Wizara ya Ardhi imejipanga kuleta amani na utulivu kwa kutatua changamoto hizo.

IMG-20220316-WA0005.jpg

IMG-20220316-WA0006.jpg

IMG-20220316-WA0007.jpg

IMG-20220316-WA0002.jpg
 
Makonda alikuwa top, Riziki one down, leo . Riziki one Juu , makonda down.
Makonda akitaka maji lazima ampigie magoti rizione
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ndugu Ridhiwani Kikwete ameshiriki Uzinduzi wa Wiki ya Maji huko Simanjiro Mkoani Manyara iliyozinduliwa na Makamu wa Rais wa Tanzania Mje. Dkt. Philip Isdor Mpango
Nadhani tittle ingekuwa Makamu wa Rais, kisha ndani kumtaje huyo waziri
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ndugu Ridhiwani Kikwete ameshiriki Uzinduzi wa Wiki ya Maji huko Simanjiro Mkoani Manyara iliyozinduliwa na Makamu wa Rais wa Tanzania Mje. Dkt. Philip Isdor Mpango.

Akitoa salamu za Wizara ya Ardhi, Mhe. Kikwete amempongeza na kumshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutenga Bajeti itakayowezesha utekelezaji wa majukumu ikiwemo kuondoa migogoro ya wakulima na wafugaji, mipaka baina ya Wilaya, Mikoa na Hifadhi na Usalama wa Ardhi.

Pia Mheshimiwa Naibu Waziri Kikwete amewahakikishia Watanzania kuwa Wizara ya Ardhi imejipanga kuleta amani na utulivu kwa kutatua changamoto hizo.

Siasa chafu zimeanza, shughuli ya Makamu wa Rais anaandikwa sabodineti wake, kwa maana hiyo kesho kule Chatu ataandikwa February au Mguu loo wa kwenye Chamber
 
Back
Top Bottom