Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mameneja wake ndo kama huyo mkubwa fella!...
Lakini je kama walikataa wenyewe kuvaa ma life jacket!? ni party gani hiyo wanavaa ma life jackets??Kuna vitu vingine sio kazi ya meneja wajameni, jambo kama hili wa kulaumiwa ni Captain wa boti, sio Fella.
Kula tanoWasafi ni kikundi cha watu wangapi hadi tujute kuwapoteza?
Kama tulipoteza watu zaidi ya 200 hivi karibuni watu 10 tushindwe kuwamudu kwenye mazishi na rambirambi?
Naona unataka kuleta ujanja wa mbuni wa kuficha kichwa kwenye mchanga na kudhani haonekani! Mo Dewji sio mtu wa kwanza kutekwa Tanzania. Tafuta nyuzi kuhusu kutekwa kwa hao wengine na kutekwa kwa Mo!Wasafi ni kikundi cha watu wangapi hadi tujute kuwapoteza?
Kama tulipoteza watu zaidi ya 200 hivi karibuni watu 10 tushindwe kuwamudu kwenye mazishi na rambirambi?
Kwaani we ke au me?Watu mnapenda umbea kama mnalipia vile , msinichoshe nenden kwenye page yake insta
Usikariri kila kelele za miguno ni za ngono, jifunze kuelewa maandiko sio kukurupuka na MO kwani nani hajui kuwa katekwa.Naona unataka kuleta ujanja wa mbuni wa kuficha kichwa kwenye mchanga na kudhani haonekani! Mo Dewji sio mtu wa kwanza kutekwa Tanzania. Tafuta nyuzi kuhusu kutekwa kwa hao wengine na kutekwa kwa Mo!
Nimezikula zote mkuu.Kula tano
Wejamaa siwakubeti wwweka viambata kusapoti mada yako
huwez amini tuna hadi watu wazito kwrnye manlaka tunabet naoWejamaa siwakubeti ww
Mgumu kuelewa! Kwaheri na endelea kuamini kila roho hapa duniani zipo sawa!Usikariri kila kelele za miguno ni za ngono, jifunze kuelewa maandiko sio kukurupuka na MO kwani nani hajui kuwa katekwa.
Mbona hujielewi!!!
Mgumu kuelewa! Kwaheri na endelea kuamini kila roho hapa duniani zipo sawa!
Mwambie jirani yako Riz aache umbeya , watu wa chalinze wanahitaji maendeleo, WCB hawahusiki na umaskini wa watu wa chalinze, halafu alivyo mnafiki mbona mazuri ya WCB utomuona kupost ila mabaya ndio upost kwa haraka , hivyo basi mwambie asiwe kimbelembele kama taiIla kweli aiseeh, walichofanya wasafi ilikua ni risk sana , it was jeopardizing the life of others kwa kweli , kitendo cha kula bata baharini kwenye boti tena wakiwa wanalewa bila life support jackets ulikua ni uzembe wa Hali ya juu , Tatizo mameneja wenyewe akili zao nao wanazijua wenyewe, mijitu mikubwa Ila prudent wala hekima hawana, wao wanachojua ni kumfuatilisha diamond tu , wako very rough they are not organized at all , mi ningeshukuru kwanza wangezama kidogo wakakiona cha mtema kuni naona ndo wangejifunza.
Ila na wewe Ridhiwan umbea uache, wivu tu unakusumbua, au unamuonea wivu diamond , kujifanya unawajali hovyo mxieew, sasa unamtag Shonza ili iweje? Wakikamatwa mnaanza midomo bring back nyonyo nyonyo.
Nime jaribu ku attach picha naona inagoma, Ila Ridhwan kapost kwenye ukurasa wake wa insta , picha ya wasanii wa wasafi wakiwa kwenye mtumbwi wakila bata huku wakiwa hawana life jackets , wambea mnisaidie kupost picha
ingetokea tu wamepata tatizo lawama zingekuwa kwa nani?Mwambie jirani yako Riz aache umbeya , watu wa chalinze wanahitaji maendeleo, WCB hawahusiki na umaskini wa watu wa chalinze, halafu alivyo mnafiki mbona mazuri ya WCB utomuona kupost ila mabaya ndio upost kwa haraka , hivyo basi mwambie asiwe kimbelembele kama tai