Tetesi: Ridhiwani Kikwete awavaa WASAFI, awatolea povu nje nje

Tetesi: Ridhiwani Kikwete awavaa WASAFI, awatolea povu nje nje

Kuna vitu vingine sio kazi ya meneja wajameni, jambo kama hili wa kulaumiwa ni Captain wa boti, sio Fella.
Lakini je kama walikataa wenyewe kuvaa ma life jacket!? ni party gani hiyo wanavaa ma life jackets??
 
Wasafi ni kikundi cha watu wangapi hadi tujute kuwapoteza?

Kama tulipoteza watu zaidi ya 200 hivi karibuni watu 10 tushindwe kuwamudu kwenye mazishi na rambirambi?
Naona unataka kuleta ujanja wa mbuni wa kuficha kichwa kwenye mchanga na kudhani haonekani! Mo Dewji sio mtu wa kwanza kutekwa Tanzania. Tafuta nyuzi kuhusu kutekwa kwa hao wengine na kutekwa kwa Mo!
 
Naona unataka kuleta ujanja wa mbuni wa kuficha kichwa kwenye mchanga na kudhani haonekani! Mo Dewji sio mtu wa kwanza kutekwa Tanzania. Tafuta nyuzi kuhusu kutekwa kwa hao wengine na kutekwa kwa Mo!
Usikariri kila kelele za miguno ni za ngono, jifunze kuelewa maandiko sio kukurupuka na MO kwani nani hajui kuwa katekwa.

Mbona hujielewi!!!
 
Usikariri kila kelele za miguno ni za ngono, jifunze kuelewa maandiko sio kukurupuka na MO kwani nani hajui kuwa katekwa.

Mbona hujielewi!!!
Mgumu kuelewa! Kwaheri na endelea kuamini kila roho hapa duniani zipo sawa!
 
Ila kweli aiseeh, walichofanya wasafi ilikua ni risk sana , it was jeopardizing the life of others kwa kweli , kitendo cha kula bata baharini kwenye boti tena wakiwa wanalewa bila life support jackets ulikua ni uzembe wa Hali ya juu , Tatizo mameneja wenyewe akili zao nao wanazijua wenyewe, mijitu mikubwa Ila prudent wala hekima hawana, wao wanachojua ni kumfuatilisha diamond tu , wako very rough they are not organized at all , mi ningeshukuru kwanza wangezama kidogo wakakiona cha mtema kuni naona ndo wangejifunza.

Ila na wewe Ridhiwan umbea uache, wivu tu unakusumbua, au unamuonea wivu diamond , kujifanya unawajali hovyo mxieew, sasa unamtag Shonza ili iweje? Wakikamatwa mnaanza midomo bring back nyonyo nyonyo.

Nime jaribu ku attach picha naona inagoma, Ila Ridhwan kapost kwenye ukurasa wake wa insta , picha ya wasanii wa wasafi wakiwa kwenye mtumbwi wakila bata huku wakiwa hawana life jackets , wambea mnisaidie kupost picha
Mwambie jirani yako Riz aache umbeya , watu wa chalinze wanahitaji maendeleo, WCB hawahusiki na umaskini wa watu wa chalinze, halafu alivyo mnafiki mbona mazuri ya WCB utomuona kupost ila mabaya ndio upost kwa haraka , hivyo basi mwambie asiwe kimbelembele kama tai
 
Mwambie jirani yako Riz aache umbeya , watu wa chalinze wanahitaji maendeleo, WCB hawahusiki na umaskini wa watu wa chalinze, halafu alivyo mnafiki mbona mazuri ya WCB utomuona kupost ila mabaya ndio upost kwa haraka , hivyo basi mwambie asiwe kimbelembele kama tai
ingetokea tu wamepata tatizo lawama zingekuwa kwa nani?
 
Back
Top Bottom