TFF nadhani mnajua kuwa Mungu wa Watanzania anawaona. Tumefika hapa baada ya Mpira kutushinda kabisa. Sasa tunatoa Bendera kwa wanaokwenda Kuburudisha na sio wanamichezo tena........ Ngashindwa mie. @dstvtanzania @mwigulunchemba @waziri_habari @sheila_simba @simbasctanzania @jerrymuro1980
Basi tu
Kayasema Hayo Kwenye Account Yake Ya Instagram...
Je Ni chuki?.... Kutomkubali Nape ?.. kutomkubali Diamond au Basi Tu
Kiki gani tena hapo [emoji20] [emoji20] [emoji20]Yaani vyombo vya habari na social media ni nouma sana....
Ila Diamond unajua kutengeneza kick mkuu...! Salute kwa hilo.
Wajanja watanielewa...!
Wakili alisema kweli!!!
Kayasema Hayo Kwenye Account Yake Ya Instagram...
Je Ni chuki?.... Kutomkubali Nape ?.. kutomkubali Diamond au Basi Tu
Kayasema Hayo Kwenye Account Yake Ya Instagram...
Je Ni chuki?.... Kutomkubali Nape ?.. kutomkubali Diamond au Basi Tu
Kama timu zetu zinafanya mbofumbofu, zinafanya ouvyoouvyo, kwanini tusijiliwaze kwa burudani mbadala?Jamaaa riz yuko sahihi kabisa unajua inauma sana badala ya timu yetu kupewa bendera ikatuwakilishe (IMESHINDWA) ndio maana anaumia kupewa msanii wa muziki.... Tena tunajitangazia kwa furaha.... Ni aibu jamani NEXT TIME tujitahidi...