Ridhiwani Kikwete kachukizwa na kitendo cha Nape kumpa bendera Diamond Platnumz?

Hajasema kwa ubaya lengo lake ni kuwakumbusha TIFUATIFUA kuwa wamepoteza uwezo wa kuwa wabunifu na kushindwa kuendesha soka la Tz kufanya mpira wetu kuwa bora
 
Anamaanisha soka letu haliridhsh na kumpa bendera jamaa iwe km changamoto mbn kaelwek tu
 
Nape Naye Kajibu mapigo

matokeo ndio majibu.........jealous is just weak emotion!!!!!!!!
tatizo ni kwamba home of intellectuals imegeuka kuwa home of purblinds....
intellectuals wanarejea vyanzo,wanaangalia utendekaji wa jambo na kufikiria matokeo kisha wanatoa views..........among all Africa nations Tanzania is well notable in such an event....thumb up!!!!!
 
Jamaaa riz yuko sahihi kabisa unajua inauma sana badala ya timu yetu kupewa bendera ikatuwakilishe (IMESHINDWA) ndio maana anaumia kupewa msanii wa muziki.... Tena tunajitangazia kwa furaha.... Ni aibu jamani NEXT TIME tujitahidi...
Kwani wakati Stars inashindwa kwenda si babake aliyejidai mpenda michezo alikuwa Rahisi(Simple)? Kinachomtoa povu nini, anatafuta kiki au kavimbiwa maembe [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nasikia wanashindia vitu hivyo kwake[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Kwenye vitu vilivyoleta mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii Wikiend iliyopita ni pamoja na suala la Waziri wa Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo Nape Nnauye kumkabidhi Bendera ya Taifa, Diamond Platnumz ambaye alikua anaelekea Gabon kwa ajili ya kutumbuiza kwenye ufunguzi wa michuano ya kombe la Afrika (Afcon 2017).

Baada ya Diamond kufika Gabon ilipigwa picha ya pamoja na wasanii mbalimbali walioenda kutumbuiza wakiwa na bendera za nchi zao,baada ya picha hiyo Waziri wa Habari Nape kupitia twitter aliandika >>’Ulizeni tena kwanini nilimkabidhi bendera Diamond‘ akamaliza na ki-alama cha kushangaa.


Mara baada ya tukio la kukabidhiwa bendera ya taifa Diamond Platnumz kabla ya kuelekea Gabon,Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete aliandika kuhusu kushangazwa na hali hiyo na aliandika >>’TFF nadhani mnajua kuwa Mungu wa Watanzania anawaona.Tumefika hapa baada ya mpira kutushinda kabisa.Sasa tunatoa Bendera kwa wanaokwenda kuburudisha na sio wanamichezo tena……..Ngashindwa mie’.


Kwa sababu mjadala umekua mrefu sana kupitia twitter,baada ya post ya Waziri Nape kwenye watu walioandika tena ni Mbunge Ridhiwani Kikwete na aliandika>>’Nafikiri Waziri amepanik kutokana na mashambulizi lkn ukweli ni kuwa tunahitaji kushiriki afcon 2019′.

SOURCE: Millard Ayo
 
Waswahili kweli akili ndogo, kwasisi akili kubwa tumeelewa Riz 1 alimaanisha nini
 


Kayasema Hayo Kwenye Account Yake Ya Instagram...

Je Ni chuki?.... Kutomkubali Nape ?.. kutomkubali Diamond au Basi Tu
Akili ndogo...alichotaka ni timu iende ikatuwakilishe yaan tuhakikishe tunapeleka timu AFCON wakapeperushe bendera na siyo kutumbuiza tu wakati tumeahindwa kupata nafasi ya kuchuana kimpira...hiz thread nyingine zinajaza nafas tu humu.
 
Jamaaa riz yuko sahihi kabisa unajua inauma sana badala ya timu yetu kupewa bendera ikatuwakilishe (IMESHINDWA) ndio maana anaumia kupewa msanii wa muziki.... Tena tunajitangazia kwa furaha.... Ni aibu jamani NEXT TIME tujitahidi...
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…