Wakuu,
Leo Ikulu ya Kenya imeandaa iftar sasa kama kawaida hotuba za viongozi, Riggy G baada ya salamu kasema kwanza amefurahi kufika kwenye sherehe ile, yaani iftar kwake ni sherehe tayari.
Ukisikia anasema hii mzee ya maandamano ujue anamsema Raila.
Ukisikia anasema hii mutu ya cerelac ujue anamsema Uhuru kuwa ni muoga kalelewa na vyakula vya kizungu tu.
Ngoja niendelee kuandika vituko vyake kila nikipata nafasi.
Leo Ikulu ya Kenya imeandaa iftar sasa kama kawaida hotuba za viongozi, Riggy G baada ya salamu kasema kwanza amefurahi kufika kwenye sherehe ile, yaani iftar kwake ni sherehe tayari.
Ukisikia anasema hii mzee ya maandamano ujue anamsema Raila.
Ukisikia anasema hii mutu ya cerelac ujue anamsema Uhuru kuwa ni muoga kalelewa na vyakula vya kizungu tu.
Ngoja niendelee kuandika vituko vyake kila nikipata nafasi.