Rigathi Gachagua huwa akihitubia anachekesha sana

Rigathi Gachagua huwa akihitubia anachekesha sana

Ni ngumu kupita kiasi, sema Ruto alichosafanyia akina Uhuru hawakuamini walikuja kustuka dakika za mwisho, Chebukati ni shemeji wa wetangula ambae ni spika wa bunge la kitaifa, halafu CJ koome na mke wa Ruto wanaundugu hivi kwahiyo mambo yakaharibika hapo, umafia waliofanyiwa pamoja na kua walikua na dola hawakuamini
Ila Ruto atatawala kwa shida sana na Kenya itayumba sana kiuchumi
 
View attachment 2584746
Hapo ni Rais Kenyatta senior, amekaa pembeni na dogo uhuru, halafu aliyeinama ni kibaki huyo aliesiamama kwa kunyooka ni mzee moi a.k.a nyayo, baadae Moi akawa Rais hapo baada ya jommo kenyatta, halafu Kibaki akaja akawa Rais, baadae yule dogo aliekaa na Baba yake hapo nae kawa Rais kwahiyo hiyo picha ilitabiri marais wanne wa kenya,
Ilitabiri au ilitoa mwelekeo wa utawala na awamu ,baada ya kikao wakapiga picha kama ushahidi
 
Wakuu,

Leo Ikulu ya Kenya imeandaa iftar sasa kama kawaida hotuba za viongozi, Riggy G baada ya salamu kasema kwanza amefurahi kufika kwenye sherehe ile, yaani iftar kwake ni sherehe tayari.

Ukisikia anasema hii mzee ya maandamano ujue anamsema Raila.

Ukisikia anasema hii mutu ya cerelac ujue anamsema Uhuru kuwa ni muoga kalelewa na vyakula vya kizungu tu.

Ngoja niendelee kuandika vituko vyake kila nikipata nafasi.
huyo ni mwehu
 
IMG_1380.jpg

Makamu wa Rais awatetea wanawake anasema wanawake wa kenya wanalia na kulalamika wanaume wa kenya hawana nguvu za kiume wanalala tu bila kuwafanya
 
Afundishwe protocal za kirais. Hata hapa kwetu kuna tatizo hili. Anapokuwepo RAIS shughuli yote inakuwa ya Rais. Wengine hata makamu wa Rais hawatakiwi kutoa policy statement yoyote zaidi ya kusalimia.
Sasa siku ile alipomsema Uhuru, Ruto angesema kuwa atashirikiana nae inagekuwaje. Ingeonekana hawakujipanga.

Enzi za Kenya na Moi. Moi alipoombwa kusalimia. Alisema tu. Mzee mkutano huu ni wa kwako. Asante kwa kuniruhusu kusalimia.
 
12 April 2023
Nairobi, Kenya

Rais William Ruto alijumuika na waislamu kwenye hafla ya iftar iliyoandaliwa na wafanyibiashara kutoka mtaa wa Eastleigh jana jioni katika jumba la mikutano la KICC hapa jijini Nairobi.

 
Back
Top Bottom