Ila Ruto atatawala kwa shida sana na Kenya itayumba sana kiuchumiNi ngumu kupita kiasi, sema Ruto alichosafanyia akina Uhuru hawakuamini walikuja kustuka dakika za mwisho, Chebukati ni shemeji wa wetangula ambae ni spika wa bunge la kitaifa, halafu CJ koome na mke wa Ruto wanaundugu hivi kwahiyo mambo yakaharibika hapo, umafia waliofanyiwa pamoja na kua walikua na dola hawakuamini
Kenya haitayumba kiuchumi.Ila Ruto atatawala kwa shida sana naKenya itayumba sana kiuchumi
Tayari imeshayumba.🤣Kenya haitayumba kiuchumi.
ni lini mtatupiku? 😂Tayari imeshayumba.🤣
Jana.😂😂😂ni lini mtatupiku? 😂
bongo tungesema mseleleko (makongoro nyerere anatumia neno KIKi)mutu ya cerelac [emoji23]
Sasa kama mishahara inawashinda lipa wategemea nini kinafuata hapo?Kenya haitayumba kiuchumi.
Ilitabiri au ilitoa mwelekeo wa utawala na awamu ,baada ya kikao wakapiga picha kama ushahidiView attachment 2584746
Hapo ni Rais Kenyatta senior, amekaa pembeni na dogo uhuru, halafu aliyeinama ni kibaki huyo aliesiamama kwa kunyooka ni mzee moi a.k.a nyayo, baadae Moi akawa Rais hapo baada ya jommo kenyatta, halafu Kibaki akaja akawa Rais, baadae yule dogo aliekaa na Baba yake hapo nae kawa Rais kwahiyo hiyo picha ilitabiri marais wanne wa kenya,
huyo ni mwehuWakuu,
Leo Ikulu ya Kenya imeandaa iftar sasa kama kawaida hotuba za viongozi, Riggy G baada ya salamu kasema kwanza amefurahi kufika kwenye sherehe ile, yaani iftar kwake ni sherehe tayari.
Ukisikia anasema hii mzee ya maandamano ujue anamsema Raila.
Ukisikia anasema hii mutu ya cerelac ujue anamsema Uhuru kuwa ni muoga kalelewa na vyakula vya kizungu tu.
Ngoja niendelee kuandika vituko vyake kila nikipata nafasi.
And Okay.Okay