Rihanna Atoa Somo Zuri kwa Wanawake. Jitahidini Kuishi Maisha Ambayo Hamtajutia Baadaye

Rihanna Atoa Somo Zuri kwa Wanawake. Jitahidini Kuishi Maisha Ambayo Hamtajutia Baadaye

Hakuna kitu kinanikera kwa vibinti vya kibongo vikishaweka miwigi kichwan basi utaskia 'mahari yangu ni million 500'...mwngine mara ohh natumia million 5 la bando...kupitia huko tu wanatuaribia hata Hawa ambao wanaweza kuoleka na kujenga familia Kwan wanawake wengi kwa kufake au kweny uhalisia wanajikuta wanaigana ...mwsho wa siku ndo Ivo unaona wanaume wame quit kuoa kumbe ni haya maisha fake wanaodanganywa mabint wengi
 
Ushauri mzuri sana ila wanawake wengi hawashauriki mpaka muda ufike na kuwaonesha uhalisia na mbaya zaidi inakuwa ni too late.
Mfano ni rihanna.
 
Dunia ndivyo ilivyo, vizazi na vizazi. Hakuna kipya chini ya jua.
 
Ushauri mzuri sana ila wanawake wengi hawashauriki mpaka muda ufike na kuwaonesha uhalisia na mbaya zaidi inakuwa ni too late.
Mfano ni rihanna.
Kabisa mkuu, na wengi huwa wanajutia ni vile tu wanakosa ujasiri wa kuswma mbele za watu kama Rihanna alivyofanya
 
Tulioenda kwenye website zetu pendwa ku search “Lana's Nasty Challenge” tukutane hapa😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom