Rihanna aula kwa kupata bwana tajiri

Rihanna aula kwa kupata bwana tajiri

SDG

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2017
Posts
7,631
Reaction score
8,073
Screenshot_20170628-181207.png
Screenshot_20170628-181541.png

Hapo ndo kuna tofauti kati yao na sisi
 
Gold digger kazini. Huyu mwarabu amuulize kinachoendelea mwenzie aliyemuoa Janet Jackson, hawa watu hata wakiwa na mijimilioni yao bado hawana mapenzi ya kweli, wameweka maslahi mbele tu.
Duuu sasa huo u gold digger unakuja vipi? Unataka kuniambia Rihanna hana nusu ya utajiri wa huyo Mwarabu...
Au basi tuseme walau Dola 400M?
 
Aliyenacho ataongezewa.
Ila ndogo nayo itachakaa mno. Mwenzie Janeth Jackson alikimbia huko.
Janeth alikimbizwa na nini,maana walizaa wale
 
Back
Top Bottom