.........Hapa Rihanna kapata mwanaume , kifua chake tu ni cha mwanaume haswa!!
Mshauri na shemeji apige tizi
bora umerudi!Atakuwa ameshabebeka/air time za kufa mtu. Na kupata mchumba mwingine ni rahsi zaidi.
.........hapa rihanna kapata mwanaume , kifua chake tu ni cha mwanaume haswa!!
bora umerudi!
kabla hujakimbia...!MCHANGO WA HARUSI VIPI?😀
wasalimie bwana............ ha ha ha ha! Ningekuwa na bank ningekuweka kitengo cha credit collection asinge default mtu hata jeshini unge collect.
Anyway tutawasiliana na kaizer na xspin then jioni nitakupigia simu.
hahaha usinichekeshe kifua cha mazoezi eeh ..
....hicho ni mfano tu wa kifua mwanaume anatakiwa kuwa nacho, haya wanaume angalia hicho kifua kama huna kinachofanana na hicho kale zoezi.
sijui na cha binamu nanihii kiko hivyo maana anashinda gym masaa 24
...Aisee!!! Kumbe huwa mnakolea na miraba minne?!!.........Hapa Rihanna kapata mwanaume , kifua chake tu ni cha mwanaume haswa!!
...Aisee!!! Kumbe huwa mnakolea na miraba minne?!!
..akiwa miraba minne lakini mashine mdebwedo inakuwaje?...Yeah hiyo ni mojawapo ya sifa ya mwanaume!! Sio uwe na kifua ilimradi kifua hata ukimhug msichana hajai kifuani.