UNAONA SASA!...........Unaogopa nini G, mwaga sera hadharani, we mtoto wa kiume usione aibu, na ukishindwa tutakusaidia maneno mazuri ya kumconvice hapahapa π
UNAONA SASA!...........
ndo uzuri wa kuwa na masisteri hapa jamvini!...ngoja nijikumbushe enzi zangu NATONGOZA ILIKUWAJE...!kuna tu-madesa najaribu kuperruzz hapa nikisha kremu tu nitaanza sera!
.........come back shortly eeh!....π
mi kilaza mama!wenzako mistari huwa iko tayari pale tukio linapotokea tu ...wewe G mpaka uanze kukumbuka ..
Who told u, huyu ndege asije akapeperuka kwa Annina, Geoff please dont go away!!!mpwazzz HE huyo, stuka shauri yako.
mi kilaza mama!
SLOW LENA
Kimya chote ndio umeibuka na Rihanna
mnhhhh,Who told u, huyu ndege asije akapeperuka kwa Annina, Geoff please dont go away!!!
Duuh, leo nimeamini ninayoyasikia gym! Kuna watu wanapanua vifua kweli.Huwa wanataniana kuwa, kama wakishindwa kupata kazi yoyote ya kufanya basi watakuwa wanauza sura maana vifua vikubwa, na mkono wa kutosha vinauzika kirahisi kitaani.........Hapa Rihanna kapata mwanaume , kifua chake tu ni cha mwanaume haswa!!
hehehe!huyu wangu!Who told u, huyu ndege asije akapeperuka kwa Annina, Geoff please dont go away!!!
Kile kitendo tu cha kuingia kwenye club wanazo-hangout watu kama hao wewe tayari ni celebrity, jamaa ni mcheza baseball alishajitengenezea jina lake siku nyingi tu. Wapenzi wa baseball wanamjua huyu bwana.jamaa anatafuta password ya u-celebrity akiipata tu utasikilizia
hehehe!huyu wangu!
tuko pi-emusasa tunatafuta lokesheni nzuri ya ''gemu''
hahaha!
for you I WILL CHANGE MMAMII!hata kazi ukitaka nitaacha,hata jeiefu nitaachana nayo,JUST FOR YOU!.......trust me!YOU HAVE MY WORDS.
PLEASE,tukadumishe mila!...(hata sasa)...!π
hehehe!Mmmh! Na hali ya hewa ya leo inahamasisha sana! Natamani na kesho weekend iwe hivi hivi!
nitawahi tu mamii!Tuanze na ban kwa yafuatayo:Orodha ni ndefu sijui kama utawahi deadline ya 13/02/2010
- Chawote Bar
- Mawasiliano ya namna yeyote na cha wivu mwenzangu Lily Flower
- PM kwa akina dada
Annina
hehehe!
majadiliano yanaendelea!nadhani mkataba utasainiwa tu
HEHEHE!Naona kweli mambo yako na LF siyo mabaya, karibu mkataba utaisiniwa....Nahisi mojawapo ya masharti ya mkataba ni kubadili signature yako isisomeke 13/02/2010
Hee hee hee unakimbia wapi sasa mbono kigeugeu, hawana lolote hao.HEHEHE!
hilo swala litakuwa gumu!bora nijipindue USWAZI AMBAKO WACHUCHU HATA KOMPYUTA HAWAJUI
Masaki mambo ni bien tuko tuli na haka ka hali ya hewa teh teh teh.Naona kweli mambo yako na LF siyo mabaya, karibu mkataba utaisiniwa....Nahisi mojawapo ya masharti ya mkataba ni kubadili signature yako isisomeke 13/02/2010
Masaki mambo ni bien tuko tuli na haka ka hali ya hewa teh teh teh.