Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
UNAONA SASA!...........Unaogopa nini G, mwaga sera hadharani, we mtoto wa kiume usione aibu, na ukishindwa tutakusaidia maneno mazuri ya kumconvice hapahapa 😀
ndo uzuri wa kuwa na masisteri hapa jamvini!...ngoja nijikumbushe enzi zangu NATONGOZA ILIKUWAJE...!kuna tu-madesa najaribu kuperruzz hapa nikisha kremu tu nitaanza sera!
.........come back shortly eeh!....😀